Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Tulia bahari imetulia Mungu kaamua ugomvi
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

Aombe chenchi ya rambirambi iliyobaki Chaltle
 
Nashauri TCRA wailazamishe mitandao kublock hiyo namba kupokea hela, huyu jamaa kwa aliyoyafanya plus alimdharau sana mama kipindi akiwa VP sasa awe ndio ubao wa mafunzo
 
Nadhani watapata hela nzuri tu cos wengi mtaani wanaamini ametolewa kafara na watawala, jeiefu na mitandaoni huko nje ndiyo ambao hawawezi kuchanga.......ila ukipita huko nje kwenye maisha ya kawaida tu.......watachanga
 
Yeye ndiye alitaka kumuua Mbowe. Umesahau siku ya uchaguzi alivamia hoteli ya Mbowe na silaha, Bora Mbowe alikuwa hayupo.
 
Back
Top Bottom