Na wewe jiongeze kidogo! Hivi unapotuma muamala wa fedha Kuna kipengele chochote kinachoonyesha matumizi ya fedha uliyotuma? Kwanini huyo mwanasheria wa tigo aspeculate kuwa muamala huo ulitumwa Kwa kazi fulani ilihali hata barua anayodai ilimtoka polisi haikuainisha sababu Wala kosa lililodhamiriwa na muamala huo? Mwanasheria kilaza TU asiyeweza kureason Bali kuconlude na kujudge! Hastahili hiyo nafasi kwani kaichafua Sana kampuni ya tigo! Afukuzwe kazi mara moja!Mnatabia ya kuchambua kamstri kamoja na kukasimamia ili kutafuta uchochoro wa kutokea, bila kusimamia hoja yote niliyoandika.
Kwahiyo hapo umeona wapi nimeandika kutuma 500K ni kosa???
Kutuma 500K sio kosa,swala ni unatuma laki tano ili kifanikisha shughuli gani?? Kama kwenye kesi imesemekana kuwa kuna kiasi kilichotumwa kwaajili ya kitu fulani, kuna ubaya gani mahakama ikithibitusha ili kujua kama ni kweli Mbowe anasingiziwa?