Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema yeye hatakuwa anakusanya kodi je ataendeshaje Nchi ?
Au anataka atuuze anakotoka ubeligiji ?
Miongoni mwa watu wajinga na wewe umo mkuu, yaani kugeuza 6 ikasomeka 9 huoni shida kabisaAmesema yeye hatakuwa anakusanya kodi je ataendeshaje Nchi ?
Au anataka atuuze anakotoka ubeligiji ?
Muendelee kudhulumu haki za msingi za watu,muishie kudanganya wasioelewa ,beberu,beberu.Hicho nacho no kichaka Cha uzalendo usio halisi.Inaonesha jinsi gani lissu anatumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi. Tunatakiwa kumkataa.
Je muuaji wa watanzania havurugi nchi?Inaonesha jinsi gani lissu anatumiwa na mabeberu kuvuruga amani ya nchi. Tunatakiwa kumkataa.
Hayo Ndio matokeo ya kuziba njia zote za upataji wa haki ndani ya nchi.Huyu jamaa wateja wake wote ni controversial figures.
Kifupi ni kuwa anaingia mahali akiwa na malengo ya kujinufaisha.
Ukimpigia kura lisu ni kumpa Amsterdam Nguvu za kumiliki uchumi wetu.
amani bila haki?Bavicha na Uvccm punguzeni chuki hasira mihemko na matusi.
Amani itawale
Kama HAKI hakuna , wanaonyima HAKI wanatakiwa kupambana sanaamani bila haki?
absolutely!Kama HAKI hakuna , wanaonyima HAKI wanatakiwa kupambana sana