mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
tukisema tunachokitaka mnatubishia😂 nyoa kipara uone watavojaaSemeni hamna hela [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tukisema tunachokitaka mnatubishia😂 nyoa kipara uone watavojaaSemeni hamna hela [emoji1787][emoji1787]
tukisema tunachokitaka mnatubishia[emoji23] nyoa kipara uone watavojaa
Kwendraaa...Semeni hamna hela [emoji1787][emoji1787]
Kwendraaa...
Acha hasira wewe...njoo PM tuyajengeNa wewe ni mwanaume usiye na hela ya kununulia bibi yako makeup?
Acha hasira wewe...njoo PM tuyajenge
[emoji1787][emoji1787] ngoja wajee...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] niache nasubiri wakaka wasio na hela warushe mawe
🤣🤣🤣 Basi osheni vichwa wakati wa kuogaMie hata siwahitaji aisee
Nipo menopause
Nimemwita atie neno.Kwamba....😀
Ooh sawa,nikadhani mada na comment ya kwanza vinamuhusu..😀Nimemwita atie neno.
Ahsante sana bro [emoji8]
Mkuu avatar yako mbona Imejaa makolokolo, haisadifu kabisa maua aliyoyatua mtoa maada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Basi osheni vichwa wakati wa kuoga
[emoji23][emoji23]
Nipm basi nione uqute wako nachuro mke Mzuri.
Usiweke hapa utaharibu hali ya hewa
[emoji12] unanitafutia balaa, kuna mwenzio alikuwa ananiponda humu alivyoniona live katangaza uchumba
🤣🤣🤣Tunaoshea saluni
Aisee[emoji12] unanitafutia balaa, kuna mwenzio alikuwa ananiponda humu alivyoniona live katangaza uchumba
Sio mbaya ukileta[emoji12] Nitaleta taharuki hapa
Sikupondei cute [emoji23], basi fanya uweke avatar inayosadifu yaliyomo [emoji39]