YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Sio mbaya ukileta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu niache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya ukileta
Watanijua watu wangu wa karibu wamejaa humu jf, sitakuwa comfortable tena ku comment pumba
Na utashangaa wewe ni mmoja wapo tunafahamiana [emoji28]
Kwa hiyo huleti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu niache
Watanijua watu wangu wa karibu wamejaa humu jf, sitakuwa comfortable tena ku comment pumba
Na utashangaa wewe ni mmoja wapo tunafahamiana [emoji28]
Kwa hiyo huleti?
Sio mbaya ukileta Pm [emoji23]
Nitalifikiria [emoji28]
Jmn cute pm nako nifikiriwe na kunaniliu sasa si utanipiga kibuti kabisa [emoji1787]
🤣🤣🤣Jf mvurugano mara pap nimetuma picha kwa bro, yaani humu kukaa kwa password sana tuna fake I’d [emoji23][emoji23][emoji23]
Jf mvurugano mara pap nimetuma picha kwa bro, yaani humu kukaa kwa password sana tuna fake I’d [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo lazima??
Wala usihofu mkuu, nikiwa hata kaka yako mbona nitafurahi tu Hamna Shida kabisa yaani swadakta tu [emoji23], labda nitakuwa kaka wa mchongo
Nitalitazamia [emoji23]
Fake photo hiyo haifaiView attachment 2658887
Kula chuma hicho [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12] unanitafutia balaa, kuna mwenzio alikuwa ananiponda humu alivyoniona live katangaza uchumba
Fake photo hiyo haifai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka niifanyie maombezi[emoji23][emoji23][emoji23] we mbona msumbufu?! Picha yangu ya nini??
Nataka niifanyie maombezi