Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Haya nipe hitaji lako nikuombeeWewe fanya tu yatafika kwa imani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya nipe hitaji lako nikuombeeWewe fanya tu yatafika kwa imani
Haya nipe hitaji lako nikuombee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiii? Si mke wa mtu wee??Uduguu umeamka?! Wape picha yangu wananisumbua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au anyoe kabisa km zinaanza otapicha ya mfano ingependeza
Hongera sana kwao, nawakubali kichizi,
alaf zile nywele azibane kwa nyuma kule
Nakudondosha hili la mke mwema, pokea upako ukawe mke mwema kwa mume aliye mwema .Yale unayoona yatanifaa wewe dondosha upako huo [emoji120]
Jamaa mmoja alitoka Katavi akampata dada wa Dar, wakiwa wakujuako akanyonya mdomo uliopakwa lip-stick siku ya pili alishinda anaharishaHongereni sana Akina dada wote ambao hampaki make up na Bado mnapendeza.
Mnanyoa na Bado mnapendeza.
Amen!
Nakudondosha hili la mke mwema, pokea upako ukawe mke mwema kwa mume aliye mwema .
Hakuibiwa wallet kweli?Jamaa mmoja alitoka Katavi akampata dada wa Dar, wakiwa wakujuako akanyonya mdomo uliopakwa lip-stick siku ya pili alishinda anaharisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiii? Si mke wa mtu wee??
Amini maombi yamejibiwa.Napokea [emoji120]
Na wanaume wema walivyo wachache nashukuru sana!!
Huenda yalimkutaHakuibiwa wallet kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mchokozee shemelaa, utavavaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wanaforce niwafanyeje uduguu
Amini maombi yamejibiwa.
Na iwe hivyoAmina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mchokozee shemelaa, utavavaa
Hakawiii kunifurusha na mie, maana tumekaa kimtego atae kaa vibaya kimemuwakiaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na zile bhangi zake hama nitachambwa kila uzi, kila jukwaa.
Hakawiii kunifurusha na mie, maana tumekaa kimtego atae kaa vibaya kimemuwakiaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jf mvurugano mara pap nimetuma picha kwa bro, yaani humu kukaa kwa password sana tuna fake I’d![]()
![]()
🤣🤣Jamaa mmoja alitoka Katavi akampata dada wa Dar, wakiwa wakujuako akanyonya mdomo uliopakwa lip-stick siku ya pili alishinda anaharisha
Na iwe hivyo