Wakina dada msiopaka Makeup nawapeni maua yenu

Wakina dada msiopaka Makeup nawapeni maua yenu

Hongereni sana Akina dada wote ambao hampaki make up na Bado mnapendeza.

Mnanyoa na Bado mnapendeza.

Amen!
Jamaa mmoja alitoka Katavi akampata dada wa Dar, wakiwa wakujuako akanyonya mdomo uliopakwa lip-stick siku ya pili alishinda anaharisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na zile bhangi zake hama nitachambwa kila uzi, kila jukwaa.
Hakawiii kunifurusha na mie, maana tumekaa kimtego atae kaa vibaya kimemuwakiaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakawiii kunifurusha na mie, maana tumekaa kimtego atae kaa vibaya kimemuwakiaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe anakuachage kwa mfano??! Yaani akikuona mnaanza tena Tom na Jerry
Mimi tena uduguu wako nitasemwa mpk kwenye uzi wa chakula, ujenzi hadi ufugaji kote
 
Kifupi countrywide haeleweki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekumbuka nimecheka alikuwa akiingia ananisearch nipo kona gani aje anizodoe khaaaaa!!

Alicomment kwenye ule uzi nilioanzishiwa na Nalia Ngwena eti, cute wife ana ukimwi atakuambukiza kila siku [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jf mvurugano mara pap nimetuma picha kwa bro, yaani humu kukaa kwa password sana tuna fake I’d
emoji23.png
emoji23.png

Jamaa mmoja alitoka Katavi akampata dada wa Dar, wakiwa wakujuako akanyonya mdomo uliopakwa lip-stick siku ya pili alishinda anaharisha
🤣🤣
 
Back
Top Bottom