Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Kuna mke wa mtu nae anakoment hapa, ooh me msafi, ananukia,,,, kumbe hapo alipo ananyonyesha ni mzembe kushindia madela, ananuka maziwa ukimuuliza bra umevaaa lini hakumbuki kisa eti ni mzazi ,,,, ! Ke wengi ni wachafu kuliko wanaume basi tu
Umeongea kwa uchungu sana ...Unaeleweka mbona Sema ukiongea sana utaambiwa mmbeya
 
Hili la kudindisha pale ninapofanya conversation na mwanamke Huwa linanitesa sana.

Muda si mrefu nilikuwa na Binti mmoja mrembo nilienda kumcheki kwake hajisikii poa,wakati nasepa akanisindikiza...Asee barabara nzima nimedinda alafu mwanga wa taa za barabara plus taa za magari dah!!

Binti ana stori za hovyo yule!! Kila nikimtoa kwenye reli maana mwenzie naaibika road hadi natembea kama Nina kibyongo ili kuficha uvimbe huku chini,yeye analeta stori za hovyo tu!! Muhogo ulivimba karibu upasue zipu ya jeans.
 
Hao viumbe kuna wanachoangalia zaidi ya hela!?
 
Wanawake ukiwafanyia uhungwana sometimes wanakuona kama zoba vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…