Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Kuna mke wa mtu nae anakoment hapa, ooh me msafi, ananukia,,,, kumbe hapo alipo ananyonyesha ni mzembe kushindia madela, ananuka maziwa ukimuuliza bra umevaaa lini hakumbuki kisa eti ni mzazi ,,,, ! Ke wengi ni wachafu kuliko wanaume basi tu
Umeongea kwa uchungu sana ...Unaeleweka mbona Sema ukiongea sana utaambiwa mmbeya
 
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌 luv umemaliza kila kitu. Mimi napenda tu kuwaangalia kwenye zipu. Maana kuna wanaodidindisha, basi unajua huyu kibamia huyu wa kati, yule mandingo. Ubusy tu siku hizi, unatunyima kuona vitu vinavyovimba bila hamira 😊
Hili la kudindisha pale ninapofanya conversation na mwanamke Huwa linanitesa sana.

Muda si mrefu nilikuwa na Binti mmoja mrembo nilienda kumcheki kwake hajisikii poa,wakati nasepa akanisindikiza...Asee barabara nzima nimedinda alafu mwanga wa taa za barabara plus taa za magari dah!!

Binti ana stori za hovyo yule!! Kila nikimtoa kwenye reli maana mwenzie naaibika road hadi natembea kama Nina kibyongo ili kuficha uvimbe huku chini,yeye analeta stori za hovyo tu!! Muhogo ulivimba karibu upasue zipu ya jeans.
 
Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?

1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
Hao viumbe kuna wanachoangalia zaidi ya hela!?
 
Kuna mijitu mingine
Hadi Kwa watu huwa wanajichoresha tu walivyo wa hovyo pasi hata na kuangalia mavazi Wala sijui viatu perfume.

Siku chache kama wiki 3 hivi nyuma zinepita.
Nilikuwa na mgonjwa hospital amelazwa,hivyo nikawa naenda kumpelekea chakula.

Alfajiri sana nikawahi nimebeba kikapu Cha chakula,na kifungashio na pochi .
Nikawa natembea barabarani ,bahati nzuri gari ikasimama kunichukua sehemu ambayo siyo kituo,nilikuwa sijafika kituoni pa kupandia.

Nimepanda kwenye gari mule na mizigo yangu,gari imejaa
Kama mnavyojua,daladala nyingi coaster,pale mbele uwazi kati ya siti ya dereva na siti ya abiria upande mwingine huwa Kuna wanakaa pale..


Kuna kaka alikuwa amekaa siti ya mwanzo kabisa kutokea Kwa dereva,alikuwa anashuka kituo Cha mbele ambapo nilipaswa kupandia gari...alivyoniona tu nahangaika na mizigo akaniambia dada njoo ukae hapabna mizigo,Mimi nashuka hapo kituoni gari ikisimama..nikamwambia Asante.

Ile ameinuka,nasogea sasa ili nikae....mara kainuka kaka likuwa amekaa ile sehemu ya katikati niliyoisema pale mwanzo,akahamia kwenye ile siti niliyopishwa bila hata aibu.

Nikamwambia kaka naomba nikae
Akanijibu kakae pale nilipohama..
Sasa pale aalipohama ni padogo hapatoshi mm kupakatia vitu vyangu vyotee naye anaona kabisa.

Mimi sikutaka kubishana naye,nikaenda pale nikakaaa...nikapakata mzigo mmoja
Huu mwingine nikamkalishia kwenye miguu yake.


Sasa jitu kama hilo
First impression Kwa watu ni roho yake mbaya...
Huyo hata kama alikuwa na plan ya kuongea na mdada yeyote humo kwenye gari..Kwa roho yake mbaya tayari alishakosa credit.

.....
Uungwana utakupa credit kwa watu.
Wanawake ukiwafanyia uhungwana sometimes wanakuona kama zoba vile.
 
Back
Top Bottom