Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Akili yake na maneno yake anayoongea.
Kuna wanaume wanaongea hawamezi mate halafu pumbaless..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yake na maneno yake anayoongea.
Mkuu naamini uhuru wa kikatiba na haki za binadamu kuliko 99% ya Watanzania, ila huwa nashangazwa pia na social behaviours za baadhi ya binadamu.Kwa nini mkuu?
Huamini katika watu kutumia uhuru wao wa kikatiba na haki zao za kibinadamu kujinafasi wanavyopenda?
Tuko pamoja, hata mimi sipendi kwanza nna kinyaa.!Najua huwezi niamini. Ila sipendi sex kabisa. Ni mtu naongea tu but siyo mambo yangu kabisa. Naweza kaa miaka hata 5 bilabila... sijui hata size ipi nzuri eti muda mrefu sana nimesahau 😅😅😅😅😅😅
Duh kumbe na wewe ni demu? Isije ikawa umevamia uzi maana humu "wa kuleft" hatuhitaji comments zaoZamani nlikuwa napenda kuessngalia wanaume wanaovaa vimodo, ule mchoro unajua kama kibamia, mandingo, msolopa, mwana ukome au dushee, yani wacha nitubu.
Ila wanaume kitu muhimu ni zipu, mengine mbwembwe tu.
Halafu ikawaje??....Kuna mmoja aliangalia zipu........
Aseee❌Kitambi
Sipendi vitambi aseee
Nikionaga mtu ana kitambi naona ni mzembe
Eleza vizuri mkuuKipindi hicho nliyajua haya nkaamua kuishi kinyume na wanavyotaka, nliishi kwa amani sana😄.
Kinyaa, uvivu mimi napenda mpenzi tubebishane kwa mengine yote. Ila ikifika hiyo mbona atachoka ajiendee masikini.Tuko pamoja, hata mimi sipendi kwanza nna kinyaa.!
Tatizo si kupenda nazungumzo ya ngono tu. Wenzetu wana mpaka pornography industry wameifanya biashara kabisa.Kuna watu wakimya kabisa na wana akili nyingi, kuna ambao ni vilaza pia. Kuna waongeaji sana wenye akili nyingi na vilaza wapo.Vivyo hivyo kuna wapenda ngono ya kuongea na vitendo ni wenye akili na wa hivyohivyo ni vilaza.
Inategemea na malezi, sehemu aliyokulia, watu wanaomzunguka. Hatuwezi kupima mtu kwa kupenda mazungumzo ya ngono, tukamuweka kundi hili ma asiyependa akawekwa kundi lile.
Ongezea nyama kidogo mkuuKwenye zipu 😥
Hahaha. Nakoseaga kwote ila sio kwenye kiatu aisee.Kucha, harufu, mavazi na viatu.
Hiyo story umetupangaManeno ndo huwa wanasikiliza
Siku moja nasafiri alikuwepo gentleman mmoja ila alipoanza kuimba ile nyimbo ya
Diamond inasema "kibane kibane mwisho kiliwe " that was too shit wanawake walimshusha vyeo vyote Asap.
Good looking and being smart upstair you can attract the pretty woman.
[emoji1787] Wasukuma wanapata tabu kila mahali.Hahaha. Nakoseaga kwote ila sio kwenye kiatu aisee.
Kuna siku mdada aliniambia unavaaga nguo ova msukuma ila viatu nakupendea hapo.