Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Mwingine nilipanda naye Bus
Kwenda Dodoma

Alipanda akanikuta,nilikuwa siti ya dirishani....
Akakaa pembeni
Alikuwa ananukia sana,
Bahati alivyopanda akanisalimia.

Kaka wa watu amevaa na saa yake
Shati lake safi ananukia hatari...
Safari ilikuwa fupi aisee...

Tumefika mafinga,
Kaka wa watu kanunua mishkaki alinikaribisha sana nile...mie siku hiyo nilikuwa kama na homa, hivyo niliishia kula biscuits tu.
Akanigawia biscuits

Mimi mtu wa kulala...Kuna muda nilikuwa nalala hadi najikuta nimekaribia kumlalia.
Kaka wa watu alinilindia simu zangu,nilichat nikalala yaani nastuka nalala kama mwehu hadi tunafika Dodoma.

Akashuka ,kumbe alidondosha wallet yake kwenye kiti palepale.. tulikuwa siti za mbelembele..sasa mimi huwa si mtu wa kukimbilia kushuka haraka,huwa nasubiri population ipungue nishuke zangu taratibu especially nikiwa sina mzigo kwenye buti.
Nikaona wahuni wale wavaa sendoz za manyoya na boksa zinachoambaa matakoni na viduku kichwani walipokuwa wanashuka
Wakataka wapite nayo.
Nikawaambia acheni,mwenye nayo yupo anakuja..wakaacha.

Nikaichukua ile wallet..
Nikachungulia nje dirishani nikaona simuoni yule kaka..
Nikahamia upande wa pili nikamuonea yule anataka kutokomea.
Nikamwita akarudi kwenye gari..nikampa wallet yake.
Nkamu kuna page umeruka au umechana irudishe 😂😂😂
 
Kucha, harufu, mavazi na viatu
IMG-20240918-WA0079.jpg

Kucha Kelsea 😄😄😄
 
Mwingine nilipanda naye Bus
Kwenda Dodoma

Alipanda akanikuta,nilikuwa siti ya dirishani....
Akakaa pembeni
Alikuwa ananukia sana,
Bahati alivyopanda akanisalimia.

Kaka wa watu amevaa na saa yake
Shati lake safi ananukia hatari...
Safari ilikuwa fupi aisee...

Tumefika mafinga,
Kaka wa watu kanunua mishkaki alinikaribisha sana nile...mie siku hiyo nilikuwa kama na homa, hivyo niliishia kula biscuits tu.
Akanigawia biscuits

Mimi mtu wa kulala...Kuna muda nilikuwa nalala hadi najikuta nimekaribia kumlalia.
Kaka wa watu alinilindia simu zangu,nilichat nikalala yaani nastuka nalala kama mwehu hadi tunafika Dodoma.

Akashuka ,kumbe alidondosha wallet yake kwenye kiti palepale.. tulikuwa siti za mbelembele..sasa mimi huwa si mtu wa kukimbilia kushuka haraka,huwa nasubiri population ipungue nishuke zangu taratibu especially nikiwa sina mzigo kwenye buti.
Nikaona wahuni wale wavaa sendoz za manyoya na boksa zinachoambaa matakoni na viduku kichwani walipokuwa wanashuka
Wakataka wapite nayo.
Nikawaambia acheni,mwenye nayo yupo anakuja..wakaacha.

Nikaichukua ile wallet..
Nikachungulia nje dirishani nikaona simuoni yule kaka..
Nikahamia upande wa pili nikamuonea yule anataka kutokomea.
Nikamwita akarudi kwenye gari..nikampa wallet yake.
Yn kuna wanaume wanavaa viatu vya manyoya? N viatu gn hvy? Naomba picha mkuu.
 
Lamomy hapo kwenye red mwambie Nkamu wako atuelekeze vizuri 🤣🤣🤣
Kuna mijitu mingine
Hadi Kwa watu huwa wanajichoresha tu walivyo wa hovyo pasi hata na kuangalia mavazi Wala sijui viatu perfume.

Siku chache kama wiki 3 hivi nyuma zinepita.
Nilikuwa na mgonjwa hospital amelazwa,hivyo nikawa naenda kumpelekea chakula.

Alfajiri sana nikawahi nimebeba kikapu Cha chakula,na kifungashio na pochi .
Nikawa natembea barabarani ,bahati nzuri gari ikasimama kunichukua sehemu ambayo siyo kituo,nilikuwa sijafika kituoni pa kupandia.

Nimepanda kwenye gari mule na mizigo yangu,gari imejaa
Kama mnavyojua,daladala nyingi coaster,pale mbele uwazi kati ya siti ya dereva na siti ya abiria upande mwingine huwa Kuna wanakaa pale..


Kuna kaka alikuwa amekaa siti ya mwanzo kabisa kutokea Kwa dereva,alikuwa anashuka kituo Cha mbele ambapo nilipaswa kupandia gari...alivyoniona tu nahangaika na mizigo akaniambia dada njoo ukae hapabna mizigo,Mimi nashuka hapo kituoni gari ikisimama..nikamwambia Asante.

Ile ameinuka,nasogea sasa ili nikae....mara kainuka kaka likuwa amekaa ile sehemu ya katikati niliyoisema pale mwanzo,akahamia kwenye ile siti niliyopishwa bila hata aibu.

Nikamwambia kaka naomba nikae
Akanijibu kakae pale nilipohama..
Sasa pale aalipohama ni padogo hapatoshi mm kupakatia vitu vyangu vyotee naye anaona kabisa.

Mimi sikutaka kubishana naye,nikaenda pale nikakaaa...nikapakata mzigo mmoja
Huu mwingine nikamkalishia kwenye miguu yake.


Sasa jitu kama hilo
First impression Kwa watu ni roho yake mbaya...
Huyo hata kama alikuwa na plan ya kuongea na mdada yeyote humo kwenye gari..Kwa roho yake mbaya tayari alishakosa credit.

.....
Uungwana utakupa credit kwa watu.
 
Najua huwezi niamini. Ila sipendi sex kabisa. Ni mtu naongea tu but siyo mambo yangu kabisa. Naweza kaa miaka hata 5 bilabila... sijui hata size ipi nzuri eti muda mrefu sana nimesahau 😅😅😅😅😅😅
Kabisa
Hilo siyo hitaji la lazima Kwa mwanadamu.
As long as mahitaji yale muhimu ya msingi unapata basi maisha yanaenda.
 
Back
Top Bottom