Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

Yaani Wanaume hili swali hata namna ya kulijibu lakini mnakimbilia kusema hela. Tuwasikie wakina Dada/Wanawake wana maoni gani ? Alafu maoni ya Wanawake humu hawajasema hela lakini nyinyi Wanaume mnasema hela. Tuone maoni yao.
 
Ebu nione kwanza kucha.
images (39).jpeg

Cheki vitu hivyo apo unaachaje kuvutiwa nami?
 
Kucha, harufu, mavazi na viatu.
Vijana wa kiume msije mkachukua hizi point mkadhani ni za msingi kukufanya kulast longer kwenye mahusiano, personal hygiene ni kitu kizuri, it projects "self love" but never listen to what women say. Kitu muhimu ni msimamo ,regardless, hii ndio itakufikisha kwenye nchi ya ahadi na mwanamke yoyote duniani.
 
Vijana wa kiume msije mkachukua hizi point mkadhani ni za msingi kukufanya kulast longer kwenye mahusiano, personal hygiene ni kitu kizuri, it projects "self love" but never listen to what women say. Kitu muhimu ni msimamo ,regardless, hii ndio itakufikisha kwenye nchi ya ahadi na mwanamke yoyote duniani.
Mleta mada hajamaanisha hiki ulichoandika hapa, msome tena.
 
Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa unakiangalia na kukiweka kwenye mawazo yako haraka sana? Pale unapokutana na Mwanaume au Kijana kwa mara ya kwanza ? Iwe ni miadi, mualiko au sherehe au tukio lolote linalokukutanisha na Mwanamume/Kijana kwa mara ya kwanza ?.
Nimejaribu kuorodhesha baadhi ya vitu hapa muweze kutuambia hapa. Je ni kipi kati ya hivi nilivyoandika hapa chini huwa ni cha kwanza kukiweka akilini na kukitilia maanani ?

1. Manukato
2. Mikono na kucha
3. Mtindo wa nywele
4. Viatu
5. Usoni
6. Tabasamu
7. Muonekano
8. Mavazi
Maisha ni varieties so unachiangalia wewe sio lazima mwingine nae aangalie.

Mfano Mimi sijawahi kuwa na wallet Wala Sina Mpango ,Huwa sichimekei ,Huwa sijipulizii manukato na Wala Sina viatu sijui vikali nk kama wanawake wanavyoeoeza humu lakini sijawahi kosa mwanamke kisa hivyo vitu hapo Juu.

So siamini kwenye hayo mambo japo nimewahi washuhudia wanawake wakikuangalia chini na kukupandisha,baadae ndio nikajua kujua wanaaangalia viatu sijui kucha ,muonekano,approach ya kwanza nk nk

But I can't bother Kwa Ajili ya hayo maana hayajawahi nikosesha mwanamke.

So mtoa mada usijisumbue watu wako tofauti
 
Back
Top Bottom