Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Sasa Kama ulikimbia mtoto unataka mama amwambiaje mtoto?? Kuna baadhi ya wanaume hata azalishe wanawake Mia atajitahidi kadri ya uwezo wake ahudumie watoto wake.
Kuna wanawake wengine wanataka kuvunja ndoa za watu.
Anazaa na mume wa mtu akitegemea ataolewa yeye mwenye mume aachike.
Matunda ndio hayo anayapata mwisho anaanza kutukana wanaume wote.

Kizazi Cha Sasa hivi kina watu wenye fikra za ajabu.
Unakuta mtu anadate na mume wa mtu aafu kichwani kwake anawaza kuwa na mume wake peke yake.
Na hawatumii Kinga.
Akipata mimba anaanza kulalamika.
Wanawake wakubali tu kwamba hakuna namna Kila mtu atakuwa na mume wake peke yake.
Kama unatamani kuwa na watoto share tu mwanaume huyo huyo ili ieleweke hata baba wa watoto ni Nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UWEZEKANO HUO UTAKUWA MKUBWA ENDAPO MZAZI ATAMLEA KTK MISINGI YAKUONA WANAUME WOTE NI ADUI NA KULISHWA NOTION YA "HAKUNA FAIDA YAKUWA NA MUME KTK MAISHA' KIFUATACHO KITAKUWA SINGLE MOTHER GENERATION WITH HAWARALIZATION.
hahahhaaaa mkuu.umetisha...hawaralarization.

cha ajabu sasa, anasema wanaume hawana faida huku ana mahawara kibao.
 
Nimeipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwezi mmoja sasa tangu nimekutana na huyo single mom,mwanzoni nilimwona kama ana adabu,anauvumilivu na heshima nikaamua kujitosa,hana kaz yeyote ya kujiingizia kipato,kidume kilipiga mimba kikasepa! Sasa analea mwenyewe.Kwa kipindi hiki kifupi nimegundua anakiburi,ni mbishi na anajifanya anajua kila kitu.Nilikua namuhudumia kwa kila kitu naye ananipa gegedo.Jicho langu la tatu limeona napoteza muda bora nipige chini na nisonge mbele! Sasa anakuja na gia kua anaujauzito wangu na anataka kutoa,nikimuuliza umepima wapi na lini hataki kusema,nimemwambia kama ipo kwel asitoe ntalea ikithibitika kama ni kwel n dam yangu,mana najua kuna vipimo vya DNA.Anachong'ang'ania ni kwamba tuende hosp.au nikutane nae mahal tuyamalize!! Sasa cjui tuyamalize vipi! Nimemblock lkn bado anatumia sim zengine kunitafuta.Anapiga sim na kutuma msg kama chiz! [emoji3][emoji3][emoji3].Nimejaribu kumdanganya nimerudiana na mke wangu lkn anasema anataka kuja kufanya fujo.Nahis atakua na matatizo ya akil[emoji16][emoji16][emoji16] au ameniona mshua kwa misimbaz nlokua nantupia mara kwa mara.Kiufupi simtaki tena n pasua kichwa.Je? wadau,watu wa dizai hii hua mnafanyaje ili mpotezeane! Mana huyu hasikiiiiii..,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kumwita mwenzio chizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi wanawake tuna kitu kimoja ambacho huwa kinatuumizaga sana, wanawake tunaogopa sana kuachwa na hasa kama huku kuachwa kunajirudia. Ninachokiona kwa huyo dada shida yake sio pesa ulizokuwa unampa ila anaogopa maumivu ambayo alishayapata hapo mwanzo ikampelekea akawa single mother! Nashauri kubali mkutane na umueleze taratibu hapo alipo amechanganyikiwa kiakili na sio uchizi kama unavyomuona, moyo wake unaugua hayuko tayari kukukosa kwa namna yoyote ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew umeachwa mara ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu na hii hali unategemea kuna ambae atakubali kuachwa kirahisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi sababu cna mpango nae,simtaki tena! Wala sitaki hata kumwona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…