Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ipo siku, nitaweka uzi hapa...Kuna wanawake ni vin'gan'ganizi dunia hii zaidi ya ruba... unaweza kujuta hata kwa nini ulikuwa na mahusiano nae, kuingia ni rahisi ila kutoka ni shughuli pevu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo siku, nitaweka uzi hapa...Kuna wanawake ni vin'gan'ganizi dunia hii zaidi ya ruba... unaweza kujuta hata kwa nini ulikuwa na mahusiano nae, kuingia ni rahisi ila kutoka ni shughuli pevu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie muangaliege mtu unajua fika kuwa huyu mwanamke sina future nae lakini mnaachia mastyle na mautamu kama yote unafikiri mtu ataacha kung'ang'ania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu piga chini huwa yanarudiana na mabwana zao walowazalisha itakula kwako mkuu mm nakupa ushauri tu , mamamaeeeeeeeee , kuna moja lilitaka niua kwa mawazo yaami nilikuwa nalihudumia misimbazi ya kutosha balaa wakati nikienda chirch tena kwa wiki nzima mara moja natoa buku tatu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji9] [emoji1] pumbavu zangu , lakini lenyewe likawa lina nipiga na mwisho wa siku likarudiana na kidampa mwenzio nyooooooooooh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni 'u single mother' wake au kiburi na ujuaji?[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…