Viumbe Wa ajabu sana hawaWanataka usingle mother na bado wanachepuka na waume za watu
Labda useme kwa percent flani na si kwamba hakuna kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachonichekesha ni kuwa hao wa kuoa wake zaidi ya mmoja pia hakuna. Hawana hizo nguvu, wanajitutumua tu. Ni bora tuanze kujiandaa kisaikolojia maana nao pia wanataka kuolewa siku hizi.
Mimi hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mume wa mtu yupi nayemtolea macho my dear ni ngumu?
Sharing is caringMie bora kuwa single mother kuliko kuwa mke wa pili/mke mwenza
Yani nakaa najua kabisa leo mume wangu hayupo yuko na mke mwenza anampa mambo!
Huyo ambaye ana mke wake na bado anakumega wewe kazipata wapi hizo nguvu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachonichekesha ni kuwa hao wa kuoa wake zaidi ya mmoja pia hakuna. Hawana hizo nguvu, wanajitutumua tu. Ni bora tuanze kujiandaa kisaikolojia maana nao pia wanataka kuolewa siku hizi.
Haiishi sio chaki kusema itaisha niletewe kidogo [emoji3][emoji3][emoji3]Mie bora kuwa single mother kuliko kuwa mke wa pili/mke mwenza
Yani nakaa najua kabisa leo mume wangu hayupo yuko na mke mwenza anampa mambo!
You wish huh!! Pole sana.Huyo ambaye ana mke wake na bado anakumega wewe kazipata wapi hizo nguvu?
Same thing applied by different methods!Haya mwanamke mwenzenu huyo anawashauriView attachment 1092525