Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mtoa mada amefikiri sana tena sana hatimaye akaandika!
 
Watu badala ya kuitafakari mada kwa akili wameihishia kutumia hisia kufikiria.
Wanaume wanaotembea na mabinti wa kambo wapo wengi Sana.
Na wengine wanawabaka.
Wengine binti mwenyewe anajipeleka.
Imagine mama alizaa akiwa na 20 Sasa hivi ana 42 na anaishi na bwana wa miaka 45.
Unadhani huyu bwana atashindwa kumtafuna huyo mtoto wa "mkewe"?
Matusi kwa mtoa mada hayabadili uhalisia wa utokeaji wa Jambo hili.
 
Jf zamani ulikuwa huwezi kukuta upuuzi kama huu ukitamalaki.
 
Laana kabisa
 
Uko sawa kabisa mkuu
 
Ni kweli kabisa mpenzi wangu Faiza foxy
 
Huyo baba kazaa na huyo binti? Huyo kwanini asingewapeleka kwa ndugu zake watoto wenyewe wakubwa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…