Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hapana si wote ni baadhi yao maana kuna single mothers na single ladies nawajua wamejenga nyumba na wana magari kwa biashara ya kudanga tu haki life is not fair at all
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajifanya huwajui mwanaume wanaokataa mimba wewe .??
Marehemu?
Kupata mimba kwa uzembe kukoje?
Wakati mwanamke kashindwa kuzuia mimba ndo mnaita uzembe,na yule aliekua anamkojolea hajafikiria kuwa anapanda mbegu na kuna ywezekano wa kuota??kwanini mnabebesha lawama zote wanawake tu?
Wewe kupata mimba ni uzembe fwata nyota ya kijani
 
Single mother's mtakuja kubisha hapa ila ukweli ndio huo Kuoa Single Mother ni kama kurisk kwa kwenda kununua Kiwanja unachojua wazi kabisa kina mgogoro,

Uhalisia ni kama unacheza betting tu, sasa kwa nini uwende ukanunue kiwanja chenye mgogoro na wakati viwanja vya wazi vipo vingi,

Single mother's wamesharisk maisha Yao kwa kuwa tayari wana watu wao Walio wapa viwanja vyao wavitumie, kijana/mwanaume mwenzangu usipoteze Muda wako kwenda kutaka kujenga kwenye kiwanja hicho kwa sababu ipo siku yule aliyepewa kiwanja mwanzo atarudi na kukaa kwenye apartment yake,

Mademu mbona wapo wengi tu wanaohitaji kuolewa na sio Masingle bi mkubwa, na siku hizi Posa sio inshu tena unamwita tu Sogea tukae baada ya wiki kashakuwa mke,


Siku hizi wasichana wanazaa zaa tu bila kuwa na future, hawaogopi tena kuwa masingle Bi mkubwa kwa kuwa wanajua kuna wanaume watatokea na kuwaoa.

Hawa ni wa kuweka kambi ya muda tu ila ukitaka kuoa nenda kaoe demu ambae utaanza nae Race.



Cc Zero IQ
Tena mgogoro wenyewe unabishana na mpemba. weeee patam hapo.[emoji23][emoji23]
 
Juhudi zao ndiyo serikali yao. Wakisubiria nani atawaletea?
Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini nimeona nililete kwenu labda wanawake watatusaidia kupata jibu....Ni kwann asilimia kubwa ya wanawake ambao hawapo kwenye mahusiano au ambao hawapo kwenye strong relation wanakuwa na nguvu ya kufanikiwa....Angalia katika jamii yako halafu njoo tujadil
 
Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini nimeona nililete kwenu labda wanawake watatusaidia kupata jibu....Ni kwann asilimia kubwa ya wanawake ambao hawapo kwenye mahusiano au ambao hawapo kwenye strong relation wanakuwa na nguvu ya kufanikiwa....Angalia katika jamii yako halafu njoo tujadil
Wanajisimamia wenyewe,hawapangiwi siku ya kusfiri kwenda kampala au Nairobi
 
Sababu wanakua na Uhuru.ndoa au mahusiano sometime yanakuwa na limits.pili mwanaume ndo umsikilize zaidi atakayosema kuliko maamuzi yako

Wewe unaishi dar umepata mwanaume anaishi arusha,umeona fursa ya kukuingizia pesa dar,lakini hutoiweza kuifanikisha sababu utaolewa na kwenda arusha.so unaamua kuiacha ikupite sababu ya ndoa.
Lakini single lady mwenye maamuzi take anakuwa tayari kujiamulia lolote na popote.ni lazima afanikiwe
Men are a destruction in women's success
Ukiwa single utajiamulia nini ufanye,lini wapi na kwa mostly manufaa ya mwanamke mwenyewe, in short una nafac kubwa ya kutimiza ndoto zako kama mwanamke
Ila ukiolewa ama ukawa somebody fiance's unaenda kutimiza ndoto za huyo mwanaume kwa sehemu kubwa.
 
Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili

Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.

Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Hu-sigeneralize. Single mothers wengine wengi tu ni kwa utashi wao wenyewe. Kubakwa au kufiwa na mme hiyo kila mtu anajua ni majanga katika maisha na pole zao. Lakini wengine ni uhuni tu, hachana nao wameishapata walicho kuwa wanakitafuta. Hivyo mtoa mada yuko sahihi to some extents.
 
Men are a destruction in women's success
Ukiwa single utajiamulia nini ufanye,lini wapi na kwa mostly manufaa ya mwanamke mwenyewe, in short una nafac kubwa ya kutimiza ndoto zako kama mwanamke
Ila ukiolewa ama ukawa somebody fiance's unaenda kutimiza ndoto za huyo mwanaume kwa sehemu kubwa.
Nini suluhisho mkuu?tusiwaoe tuwazalishe hukohuko bila kuishi pamoja?
 
Single mothers wako vizuri Sana wanapoingia kwenye ndoa.
Nikitaka kuoa nitaoa single mother no Watu wanaojielewa sana
 
Hivi wanaume kwanini wanawake tukiongea ukweli wa kuwagusa huwa mnahamia kwenye maisha yetu?

Seriously hii tabia nimeiona kwa wanaume na siyo wanawake humu JF yaani mkishaona mmeambiwa ukweli mkakosa cha kujitetea mnaanza kuhusisha tunayoandika humu na maisha yetu hata kama hayahusiani sasa sijui ndo huwa mnataka kujifariji tu?
Mwanaume anadil na maisha halisi,na hivyo ndivyo ilivyo.
 
Uzembe wa hali ya juu kivipi? Nauliza wakati mnakojoa huwa hamjui kama mnapanda mbegu na kwamba inaweza ikaota au isiote?
Suala la kujitunza ni la kila mtu si la mwanamke wala mwanaume. Kwahiyo kila mmoja anatakiwa awe makini na mwenzake hata kama yeye hajali. Mimi nikitembea na mwanamke nikapata UKIMWI, kosa ni langu na siyo la mwanamke kwasababu nilipasa kujitunza hivyo hivyo kwa mwanamke. Mahusiano yapo na kila mtu anaanzisha mahusiano kwa nia njema ila kuna wengine wanaanzisha kwa nia mbaya kwahiyo unatakiwa ujijali kwanza wewe.
Mwanamke kapata mimba lakini lawama zote anazipeleka kwa mwanaume kitu ambacho siyo sahihi. Unatakiwa ujilinde, na umchunguze mwenza wako kama ana nia ya dhati na wewe. Nazungumzia waliopata mimba kwa uzembe wao.
Unatembea na mume wa mtu au mwanaume asiyekuwa na nia na wewe lakini unaona ukibeba mimba atakupenda na matokeo yake anakuacha halafu unaanza kuwalaumu wanaume.
 
Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili

Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.

Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
single mama wanao ongelewa sio wajane wala waume zao walienda jela ila ni wale ambao Walizaa na wapenzi zao then kutokana na sababu zisizo na kichwa wala miguuu eti wakaachana hao ndo SIO.

uKISHAZAA na mwanaume mi nadhani kwa wote (ke na me) hamtakiwi kuachana tena na tena Nyie pambaneni na chngamoto zenu zozote ztazokuja mbele yenu ila OPTION ya kuachana hapo isiwepo..nunianeni hata miaka ila NO KUACHANA for the sake of our kids.(neno langu sio sheria)
 
Nini suluhisho mkuu?tusiwaoe tuwazalishe hukohuko bila kuishi pamoja?
No muoe tu Ila muwasupport kutimiza ndoto zao,manake nao wana ndoto zao ambazo mkiwork together mnaweza fika mbali
Tatizo hapa ni ubinafsi wa wanaume pindi waoapo,mtu anaona kama amenunua mtu,anammiliki kama robot anachoamua mume ama kuwaza ndio anaona sahihi
Marriage is all about kukamilishana and not one person kummiliki mwingine
 
Back
Top Bottom