monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Ukiwa na maana single mother na single ladies ni wadangaji?
Hahaaa. Inawezekana maana singo nanilii wako poa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana si wote ni baadhi yao maana kuna single mothers na single ladies nawajua wamejenga nyumba na wana magari kwa biashara ya kudanga tu haki life is not fair at all
Wewe kupata mimba ni uzembe fwata nyota ya kijaniUnajifanya huwajui mwanaume wanaokataa mimba wewe .??
Marehemu?
Kupata mimba kwa uzembe kukoje?
Wakati mwanamke kashindwa kuzuia mimba ndo mnaita uzembe,na yule aliekua anamkojolea hajafikiria kuwa anapanda mbegu na kuna ywezekano wa kuota??kwanini mnabebesha lawama zote wanawake tu?
Tena mgogoro wenyewe unabishana na mpemba. weeee patam hapo.[emoji23][emoji23]Single mother's mtakuja kubisha hapa ila ukweli ndio huo Kuoa Single Mother ni kama kurisk kwa kwenda kununua Kiwanja unachojua wazi kabisa kina mgogoro,
Uhalisia ni kama unacheza betting tu, sasa kwa nini uwende ukanunue kiwanja chenye mgogoro na wakati viwanja vya wazi vipo vingi,
Single mother's wamesharisk maisha Yao kwa kuwa tayari wana watu wao Walio wapa viwanja vyao wavitumie, kijana/mwanaume mwenzangu usipoteze Muda wako kwenda kutaka kujenga kwenye kiwanja hicho kwa sababu ipo siku yule aliyepewa kiwanja mwanzo atarudi na kukaa kwenye apartment yake,
Mademu mbona wapo wengi tu wanaohitaji kuolewa na sio Masingle bi mkubwa, na siku hizi Posa sio inshu tena unamwita tu Sogea tukae baada ya wiki kashakuwa mke,
Siku hizi wasichana wanazaa zaa tu bila kuwa na future, hawaogopi tena kuwa masingle Bi mkubwa kwa kuwa wanajua kuna wanaume watatokea na kuwaoa.
Hawa ni wa kuweka kambi ya muda tu ila ukitaka kuoa nenda kaoe demu ambae utaanza nae Race.
Cc Zero IQ
Haswaaa
Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini nimeona nililete kwenu labda wanawake watatusaidia kupata jibu....Ni kwann asilimia kubwa ya wanawake ambao hawapo kwenye mahusiano au ambao hawapo kwenye strong relation wanakuwa na nguvu ya kufanikiwa....Angalia katika jamii yako halafu njoo tujadil
Wanajisimamia wenyewe,hawapangiwi siku ya kusfiri kwenda kampala au NairobiMara kadhaa nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini nimeona nililete kwenu labda wanawake watatusaidia kupata jibu....Ni kwann asilimia kubwa ya wanawake ambao hawapo kwenye mahusiano au ambao hawapo kwenye strong relation wanakuwa na nguvu ya kufanikiwa....Angalia katika jamii yako halafu njoo tujadil
Men are a destruction in women's successSababu wanakua na Uhuru.ndoa au mahusiano sometime yanakuwa na limits.pili mwanaume ndo umsikilize zaidi atakayosema kuliko maamuzi yako
Wewe unaishi dar umepata mwanaume anaishi arusha,umeona fursa ya kukuingizia pesa dar,lakini hutoiweza kuifanikisha sababu utaolewa na kwenda arusha.so unaamua kuiacha ikupite sababu ya ndoa.
Lakini single lady mwenye maamuzi take anakuwa tayari kujiamulia lolote na popote.ni lazima afanikiwe
Hu-sigeneralize. Single mothers wengine wengi tu ni kwa utashi wao wenyewe. Kubakwa au kufiwa na mme hiyo kila mtu anajua ni majanga katika maisha na pole zao. Lakini wengine ni uhuni tu, hachana nao wameishapata walicho kuwa wanakitafuta. Hivyo mtoa mada yuko sahihi to some extents.Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili
Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.
Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Nini suluhisho mkuu?tusiwaoe tuwazalishe hukohuko bila kuishi pamoja?Men are a destruction in women's success
Ukiwa single utajiamulia nini ufanye,lini wapi na kwa mostly manufaa ya mwanamke mwenyewe, in short una nafac kubwa ya kutimiza ndoto zako kama mwanamke
Ila ukiolewa ama ukawa somebody fiance's unaenda kutimiza ndoto za huyo mwanaume kwa sehemu kubwa.
Mwanaume anadil na maisha halisi,na hivyo ndivyo ilivyo.Hivi wanaume kwanini wanawake tukiongea ukweli wa kuwagusa huwa mnahamia kwenye maisha yetu?
Seriously hii tabia nimeiona kwa wanaume na siyo wanawake humu JF yaani mkishaona mmeambiwa ukweli mkakosa cha kujitetea mnaanza kuhusisha tunayoandika humu na maisha yetu hata kama hayahusiani sasa sijui ndo huwa mnataka kujifariji tu?
Hakuna swali hapo mkuu,unaweka ndani tu.Mwenye kiwanja kama alifariki hapo vip?
Suala la kujitunza ni la kila mtu si la mwanamke wala mwanaume. Kwahiyo kila mmoja anatakiwa awe makini na mwenzake hata kama yeye hajali. Mimi nikitembea na mwanamke nikapata UKIMWI, kosa ni langu na siyo la mwanamke kwasababu nilipasa kujitunza hivyo hivyo kwa mwanamke. Mahusiano yapo na kila mtu anaanzisha mahusiano kwa nia njema ila kuna wengine wanaanzisha kwa nia mbaya kwahiyo unatakiwa ujijali kwanza wewe.Uzembe wa hali ya juu kivipi? Nauliza wakati mnakojoa huwa hamjui kama mnapanda mbegu na kwamba inaweza ikaota au isiote?
single mama wanao ongelewa sio wajane wala waume zao walienda jela ila ni wale ambao Walizaa na wapenzi zao then kutokana na sababu zisizo na kichwa wala miguuu eti wakaachana hao ndo SIO.Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili
Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.
Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
No muoe tu Ila muwasupport kutimiza ndoto zao,manake nao wana ndoto zao ambazo mkiwork together mnaweza fika mbaliNini suluhisho mkuu?tusiwaoe tuwazalishe hukohuko bila kuishi pamoja?