Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Tema mate chini kaka angu....waswahili wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto
Mkuu kamwe huwezi bishana na mlevi kuhusu pombe.

Single mother ni last option kabisa huko nikikosa mwanamke.

Nitaassume nimeadhibiwa na Mungu na kulaaniwa. Hiyo tunaita Adhabu na laana
 
Kwani ungeweka vitu vyako nje ungepungukiwa nini...au huyo mdada alikwambia umalizie humo ndani au ulizidiwa na utamu...halafu baada ya kumaliza shughuli si ungempa p2 ameze[emoji1745]
hahaha we unadhani ni simple kuruka kwenye bodaboda ikiwa speed 120?
 
Sasa si ndio ungemhimiza mama kunywa p2 basi maana speed imekua kubwa wakati wa mpambano....sidhani kama angekataa unless alitaka akutegeshee mimba
Wengine hugoma, anasema ye hataki dhambi 🤣🤣🤣
 
Uzembe wa hali ya juu kivipi? Nauliza wakati mnakojoa huwa hamjui kama mnapanda mbegu na kwamba inaweza ikaota au isiote?


Marianah; Mnapokojoa huwa hamjui kama mnapanda mbegu ambayo inaweza iote au isiote?
Jokajeusi; Mwanamke asiye wa ndoa hatuwezi fikiri jambo hilo.

Marianah; Ila.
JokaJeusi; Hizo zinaitwa mbegu zilizoangukia barabarani. Hazijapandwa. Tofautisha kupandwa na kuangukia barabarani. Mbegu zilizopandwa hupandwa kwa mke. Lakini zilizoanguka barabarani ni hao michepuko. Mchepuko ni kama barabara tuu mtu yeyote huweza kuipitia. Hata magari hupitia.

Marianah; Acha dharau na kejeli. Isikute hata wewe mbegu yako ilianguka barabarani.
JokaJeusi; Haiondoi Ukweli.

Marianah; Nyie wanaume ndio Sababu ya Sisi kuwa single mother.
JokaJeusi; Upo sahihi. Ninyi mlijigeuza Barabara unafikiri tungepita wapi. Matokeo yake tulipopita tuliangusha Mbegu zikaota.

Marianah; Msitulaumu basi. Kubalini kutuoa.
JokaJeusi; Barabara ikizoea kupitwa na Watu haiwezi ota majani.

Marianah; Unamaanisha nini?
JokaJeusi; Nilipaswa kukuuliza wewe swali hilo kuwa ulimaanisha nini kujigeuza barabara. Matokeo yake watu wanaangusha mbegu, Ng'ombe na mbuzi wanaacha vinyesi vyao. Labda ungejibu swali hilo ningejibu swali lako.

Marianah; Shida mnawalaumu wanawake pekee yao.
JokaJeusi; Sio tunawalaumu wanawake. Bali ni kuwa hatuwezi kuwaoa.

Marianah; Kwa nini msituoe wakati mmetuzalisha?
JokaJeusi; Uliona wapi mtu akijenga Nyumba Barabarani?

Marianah; Mmmmh!
JokaJeusi; Ndio hivyo. Hukumbuki bomoa bomoa ya JPM kipindi kile.

Marianah; Inatosha. Naona umeamua kunitukana.
JokaJeusi; Sorry kama nimekuudhi. Ila ukweli ni kuwa Kuoa single mother ni sawa na kujenga nyumba barabarani. Bomoa bomoa ikija nyumba inabomolewa.
 
Tema mate chini kaka angu....waswahili wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto

Mimi sijatukana mamba. Nimeongea ukweli kabisa kuwa nikioa single mother nitajichukulia nimepewa adhabu na Mungu na laana.

Yaani nioe single mother ilhali Wanawake wapo.

Alafu
 
Back
Top Bottom