Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Najua hii ni ngumu kumeza na ukweli unauma sana lakini hii ni kweli tupu ila hapo kwenye kumpata bikra ni adimu siku hizi bora ungesema yeyote yule ambaye bado hajawahi kupata mimba kabisa na utamjua tu ipo namna.....
 
Najua hii ni ngumu kumeza na ukweli unauma sana lakini hii ni kweli tupu ila hapo kwenye kumpata bikra ni adimu siku hizi bora ungesema yeyote yule ambaye bado hajawahi kupata mimba kabisa na utamjua tu ipo namna.....
Nakuelewa mkuu, tatizo la ambaye hajapata mimba ni kuwa atakuwa na attachment nyingine pia. Kwanza kuna aliyemtoa bikira, pili wako waliomsugua vizuri. Itakuwa mkipishana kidogo tu, anakwenda kutafuta faraja kwa washika dau. Utachapiwa mapaka basi, kwani atajiona hana cha kuwaficha kwani walishamfunua uchi wake.

Unataka kuwa salama? Tafuta bikira, ni dalili njema kwamba anajiheshimu na ana nafasi kubwa kukuheshimu oia
 
Hoja ya kijinga kabisa hii. Kuwa na mtoto anayetumia madawa ya kulevya sio sababu ya kukaa kimya kulinda staha. Ni ujinga uliopitiloza. Habari ya baba yangu kuiingiza humu ni dalili ya wewe kuwa uliyeharibika akili, hufai hata kuwa baba wa familia.

Hapa hatupaki mafuta kwa mgongo wa chupa, ni ukweli mtimilifu, no matter what! Kama umeumia kaa kimya, nina uhakika wako vijana wawili ama watatu watajifunza neno hapa.
 
Nakuelewa mkuu, exception cases zipo kwa kila kitu. Ila kwa ujumla wake ukweli ni huo, huwezi khniambia kuwa ni suala la tabia kwani kuzaa nje ya ndoa tayari ni kiashiria cha aina ya tabia. Sasa wako waliojifunza kwa MOTO, yaani baada ya kupitia msoto kufuatia kosa hilo, hizo ndio exception cases, lakini wengi ndio hao hata leo tunawasikia wakitaka mpaka kuanzisha UMOJA wao. By the way hao watakatifu unaowasema hivyo sidhani kama unajua maana. Binti anmepaswa kuolewa akiwa bikra, thats all.
 
Fine, ni mtazamo wako. Pia waweza kuwa ni ushamba wako, hao wengi umewafanyia assessment lini? Narudia,
FACT: kuoa single mama ni kuoa mke wa mwanaume mwenzio
Mbona uko mkali hivi kamanda? Mada ni yako. Waache watu watoe mawazo yao kwa uhuru. Sasa tena inakuwa kama vile ni ugomvi. Kwa nini tusisemeshane na kujadiliana kwa staha?
 
Ndio kusema single mother huolewa kwa kutimiziwa masharti yao
 
Ukisoma kwa makini hizo sababu ziko kwa pande zote mbili!

Wimbi la hawa singo mama/baba ni kubwa sana! Sababu ni nini haswa?! Kubali kataa chanzo ni malezi, vijana hawana hofu tenaa zamani ilikuwa ukizaa bila kuolewa ni aibu kwa mzazi kijiji kizima kinanyoosha kidole kwenye hiyo familia!

Mtoto wa kiume ajitambue, na mtoto wa kike ajithamini! Hawa tunaowaita singo mama ni binadamu pia, wana mapungufu yao ila kitendo cha wao kuamua kuzaa na sio kutoa mimba ni ujasiri!

Tumebaki tukiwanyooshea vidole singo mama na kusahau kuwaasa watoto wetu wa kiume!!
Kila mzazi asimamie nafasi yake kwenye malezi!
 
Nina mbwa wangu ambaye umemzidi umri ila ana busara na akili kukuzidi wewe. Rudia bandiko lako mstari kwa mstari kisha mpe mtu unayedhani umemzidi maarifa asipokuambia ulichoandika ni kampeni ya kutaka wanawake ambao wana watoto wasiolewe tena. Imagine mtu ni single mother simply kwa kuwa alibakwa ama mimba za utotoni then akutane na kampeni yako hii mshuuuu...pambaffff
 
Hata usemeje. Aliekuzalisha ndio akuoe. Kama baba wa mtoto yupo hai huyo single maza ni wa kukaa nae mbali sana. Hata salam usimpe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…