Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kwan uwezo wako ukoje? Hiyo ni mahari yake au hela za wazee?? Mahari ni ile mke huchagua apendacho saa zingine ni maridhiano baina yenu
uwezo ni wa kawaida sana. mke hasemi kitu, anawasikiliza wazazi tu hata kutetea ameshindwa
 
Hongera kwanza kwa kuamua kuvuta "singo maza".
Jambo la pili punguza jazba na hasira.
Tatu kalipe hiyo laki nne, kulialia kwa ajili ya mahari ya laki nne sio dalili njema.
Nne, nikutakie kila la kheri kwenye ndoa yako na baby mama.
 
nimeanguka kwa single mother, nimejiandaa kukabiliana na changmaoto zote zinazosemwa humu. kwakuwa la kuambiwa changanya na akili yako, nimeamua kuendelea.....maneno yapo humu, vitendo mtaani. wengi humu, tena wengine ni wapostaji wa kila siku wa threads zinazoponda single mothers, wanadeal nao vizuri tu; ni eidha wake zao au wapenzi wao. nikiwa muislam, najua ndoa hainibani sana.....asipotia akili, sioni tabu kuivunja hata kesho.

nimemzidi kipato maana hana kazi wakati mimi ni muajiriwa. yeye amenizidi, kwa mbali tu, akili ya ujasiriamali....amenizidi sana. mipango yake inaonekana na ipo dhahiri (wakati yangu ninapoilinganisha kimyakimya ipo dhaifu kweli dhidi yake).....nataka kuvuna hiki kipaji, km sio mimi basi mtoto wangu (tukijaaliwa kuzaa), km ambavyo nae najua anataka kufaidika nami. aliolewa lkn mume ukicheche ulimsumbua baada ya kupata mtoto wao huyo....akamtelekeza na harakati za kudaiana talaka zikafanyika.

nimepeleka barua, wananijibu kuwa wanataka laki nne. PUMBAVU!!! nimewaambia wapunguze hadi nusu km hawataki basi. natoka na nipo maeneo ya pwani, huku ndoa ni ibada zaidi kuliko fursa....ukizingatia na umama wake, naona km nataka kupigwa. nimewapa hadi kesho kuamua hilo.

nilileta thread ya kukimbiwa na binti na kwenda kuolewa na tajiri flani,...ameolewa kwa laki mbili na nusu tu!

karibuni.....
Ur still a learner
 
Hongera kwanza kwa kuamua kuvuta "singo maza".
Jambo la pili punguza jazba na hasira.
Tatu kalipe hiyo laki nne, kulialia kwa ajili ya mahari ya laki nne sio dalili njema.
Nne, nikutakie kila la kheri kwenye ndoa yako na baby mama.
shukrani sana!
 
Kwani wasichana wameisha hadi uchukue lililozalishwa
 
Laki nne mkuu?? Daaaa

Sehemu nayotaka kwenda kuoa dada mtu yeye alitolewa mahari ya M4...

Sijui kwangu itakua je
 
Nakushauri lipa mahari kisha oa mkuu, wake wachakarikaji ni wachache mno umeshasema ni mpambanaji na hiyo laki nne si kitu
 
Back
Top Bottom