Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single mothers wamekuwa jalala la matusi ya kila aina nowadays. Mbona hawazungumzii single fathers au wanawake wanazaa na wakina nani? Leo wanasema watoto wa watu baadae watoto wao watasemwa vile vile.
Sisi walimu huwa tunafundisha hivi there's different btn zoology and botany sasa na kwenye huu uzi kuna tofauti kati ya mwanaume na mwanamke.
.
Mwanamke akikandamizwa hovyohovyo anachuja vibaya sanaaa ila mwanaume hachuji zaidi atakufa ghafla tu 😂😂
.
Mwanamke ukizalishwa thamani yako inashuka ila mwanaume aliyekuzalisha thamani yake inapanda sijui kama unanielewa
 
Nonsense, yaan unasema kuzalisha mwanamke ambaye huna mpango wa kumuoa thamani yako inapanda. Nenda kasome vizuri kwanza.
 

Nadhani umeeleza kwa upande wa mabaya hebu eleza na mazuri yao. Pili kuwa single mother sio matokeo ya uzinzi anaweza mme akafariki na kumwacha katika usingle huo.
Unapoeleza haya jaribu kutafakari hisia na maumivu wanayo pitia.
Kwa jicho la tatu wewe umeoa single mother na yamekukuta ndio maana unatusadikisha kuwa wote wapo hivyo.
 
mabikra wapo wengi tu kama kweli unaikubali hii falsafa ya ubikira kwa asilimia zote
 
bond ya mtoto ni kubwa sana
 
Aiseee mleta uzi nimemuelewa sana sana maana. hili Jambo limenikumba nipo kwenye mahusiano na single mother ananifosi nimuoe lkn mm ndoto yangu nikuoa ambaye hajazaa pengine Kama nashukuru mkuu nitasimamia msimamo wangu japo sijawahi kumwambia ukweli
[/QUOTE]vipi baba mwenye mtoto ana wasiliana nae???
 
tupe mkasa huo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], natanguliza shukrani
 
mkuu una uzoefu nao nini??
 
Nonsense, yaan unasema kuzalisha mwanamke ambaye huna mpango wa kumuoa thamani yako inapanda. Nenda kasome vizuri kwanza.
Hivi umekielewa kweli nilichokiandika?
Na nikasome vizuri nini?
.
Hayo maneno ya rangi ya green umeyatoa wapi? Nyie ndio tunawapigaga mimba alafu tunayatelekeza shenzy kabisa
 
Uliona wapi Mwanaume akawa bikra.

Ninachokiona kwa wanawake wa siku hizi hawana bikra sio tuu za kwenye papuchi bali mpaka akilini.

Imagine mtu anasema mwanaume anabikra. Huyo hata mbuzi anaafadhali.
Kama hujaelewa hio figure of speech niliyotumia my dear you should go check your brain.
 
Uliona wapi Mwanaume akawa bikra.

Ninachokiona kwa wanawake wa siku hizi hawana bikra sio tuu za kwenye papuchi bali mpaka akilini.

Imagine mtu anasema mwanaume anabikra. Huyo hata mbuzi anaafadhali.
Kwanza unajua maana ya bikra?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…