Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

7800 is back on the pitch
Hawa wanaume wamekuwa watu wa ajabu sana,tena sana

Wanawake wapo tu wengi mtaani,wazuri na wavumilivu na wanaojua mapenzi lakini anawaacha anakimbilia wanafunzi ,halafu wanawapa mimba miaka 30 jela

Hiyo haitoshi,nimekutana na kaka mmoja analalama kwa mwenzake alivyo kwenye mahusiano na binti wa umri wa miaka 17 na anavyomnyanyasa

Huyo mwanaume anadai amekuwa kwenye mahusiano na huyo binti wa kidato cha Tatu ndani ya miezi 4 tu ametumia zaidi ya laki Tatu

Anasema mwanafunzi amekuwa akimuomba hela ya matumizi mara kwa mara,na amekuwa akimuomba amnunilie vitu vya gharama

Hata wakiwa 6 kwa 6 hapati ushirikiano wa kutosha na hudai amechoka mapema na siku ya kumpa mapenzi ni baada ya mwezi mmoja na huku kila siku anatumiwa SMS za kuombwa hela

NB.Nimegundua wanaume hawana akili,unamuacha single mother mtaani,wa kukupa mapenzi unavyotaka unakimbilia under 20 halafu unaanza kulalama kwa wenzio

Mtaishia gerezani wote, acheni wanafunzi, madada tupo wengi mtaani,tunajua mapenzi na unapewa bila ratiba,na matumizi yetu ni kidogo sana

Acheni maisha ya risk
 
Nimesisitizwa sana nioe under 20, eti vina heshima, nikikioa kitakuwa kinanisikiliza sana
 
Za 20 tamu zinabana na chuchu zimesimama pia wepesi kuwafikisha kileleni wanalia kwa utamu sauti nyororo hawalalamiki kibamia hata Kama kweli nnacho...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
That's according to your own thoughts and not according to the reality you need to step out of that world you are living in and come to the real world
Then your reality about me not my reality, your presuppositions about me not my thoughts! You are bit dim who's tryna so hard to know me. Keep yo ass in gear one day you wil
 
Kinachosumbua vichwa vya watu hapa ni dhana ya kugongewa,ifahamike kuwa mwanamke hata kama sio single mother anaweza kugongwa nje ya ndoa pia.
Kuhusu kulea mtoto hayo ni mapenzi yako wewe nina ushuda wa watu watatu ambao wameoa single mothers na wakaweka sheria mbele ya baba na mama wa binti kuwa hawataishi na mtoto(mjukuu wao) na wakaomba mtoto akae nao,mpka leo hii ninavyozungumza ndoa zao ziko vizuri na watoto wa hao single mothers wanaishi na bibi zao.
Pia naomba ifahamike kuwa ndoa haina kanuni kwamba nikifanya hivi itakuwa poa zaidi,ndoa ni zaidi ya haya tunayoyafikiri.Unaweza kuoa single mother na ndoa yako ikawa na amani sana na unaweza kuowa bikra na ndoa yako ikawa chungu na mpka ikapelekea kuachana.Wapo walio oa bikra lakini ndoa zao hazikudum,hii ina maanisha kuwa marriage has no formula.
Pia wapo ambao sio single mothers lakini wametoa mimba zaidi ya mara moja mimi huwa nawaita mama wa marehem,kutoa mimba kunaweza kupelekea binti asizae tena inategemea na jinsi alivyoitoa,kama mtoaji aliharibu mji wa mimba(endometrium) huyo binti hawezi kupata mimba tena,sasa wewe ukimwoa utajua umepata binti ambae hajazalia nyumbani kumbe umeruka mkojo ukaenda kukanyaga mavi.
Ushauri ni kwamba usioe kwakuangalia huyu ni single mother au sio single mother badala yake oa kwakuangalia je huyu tunaendana na ndoa haitakuwa na vurugu?
 
Back
Top Bottom