Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hivi mtu mwenye mtoto lakini hajaolewa kumwita single mother ni sahihi kweli? Kwa nini asiitwe single parent?
Mi mwenyewe nimewazaaa, nikasema labda kingereza sikijui! si unajua kimekuja na meli, ila kweli naona wanaitwa single parent kama sijakosea.
 
Hawezi sema labda umkere hasa aropokwe
The what's the point ya ww kusema umuulize chanzo cha kuvunjika kwa mahusiano ya baba wa mtoto wake?
Nadhan if u love someone t doesn't matter ana mtoto au hana what matters is the way he/she treats u
 
The what's the point ya ww kusema umuulize chanzo cha kuvunjika kwa mahusiano ya baba wa mtoto wake?
Nadhan if u love someone t doesn't matter ana mtoto au hana what matters is the way he/she treats u
Sawa mkuu nimeelewa
 
aise nikishajua umezalishwa hata nyege hazipandi kwa kweli..kabisaa yaan alikojolea huko mtu na mtoto juu nikuoe??never happen
 
aise nikishajua umezalishwa hata nyege hazipandi kwa kweli..kabisaa yaan alikojolea huko mtu na mtoto juu nikuoe??never happen
Hata Mimi tena nikidate na single mother huwa sirudiagi Mara mbili
 
aise nikishajua umezalishwa hata nyege hazipandi kwa kweli..kabisaa yaan alikojolea huko mtu na mtoto juu nikuoe??never happen
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ile kitu inatema visivyotumika kuwa na amani
 
Hi mada kuna watu inawakosesha Amani kabisa cc miss chagga
 
huwezi kukosa wa kuoa lkn ni bora kuanza fresh with no string attached.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…