Mathethamathetha
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 152
- 148
Mi mwenyewe nimewazaaa, nikasema labda kingereza sikijui! si unajua kimekuja na meli, ila kweli naona wanaitwa single parent kama sijakosea.Hivi mtu mwenye mtoto lakini hajaolewa kumwita single mother ni sahihi kweli? Kwa nini asiitwe single parent?
Utajuaje hzo sababu?wht if alicheat he atakuambia?ndiyo lazima ujue sababu ya kuachana basi..
Hawezi sema labda umkere hasa aropokweUtajuaje hzo sababu?wht if alicheat he atakuambia?
The what's the point ya ww kusema umuulize chanzo cha kuvunjika kwa mahusiano ya baba wa mtoto wake?Hawezi sema labda umkere hasa aropokwe
Sawa mkuu nimeelewaThe what's the point ya ww kusema umuulize chanzo cha kuvunjika kwa mahusiano ya baba wa mtoto wake?
Nadhan if u love someone t doesn't matter ana mtoto au hana what matters is the way he/she treats u
aise nikishajua umezalishwa hata nyege hazipandi kwa kweli..kabisaa yaan alikojolea huko mtu na mtoto juu nikuoe??never happenutakuwa huru ukiamua kuwa huru.. pia kabla ya kuoa single mama kama unavyoita jaribu kuchunguza sababu iliyopelekea yeye kuwa single, pili mawasiliano yake na mzazi mwenzie yakoje? nimeona wadada wamezaa lakini labda kwa bahati mbaya wanakuja kugundua mwanaume aliyezaa nae siyo type yake huaza fisa na wakiangalia umri bado upo ujitengenezea mazingira ya kuwa hivyo ili tu wapate wale wanaodhani ni type yao... na wapo kweli waliotelekezwa .. na wapo waliona kwa mwenendo huu na huyu mtu hapana ni kitanzi hichi inabidi ajisepee tu sababu hata kutunza mtoto alishindwa,... na wapo waliodanganywa na kumsaliti mzazi mwenzie na kuenda huko na kukuta ndivyo sivyo na kuamua kurudi kwa mzazi mwenzie akamakatalia.... na wapo ambao waliamua tu kuzaa kwa kutaka sura nzuri... na wapo uteen ulisababisha usingle ...
sasa ukishajua sababu iliyompelekea kuwa hivyo basi hakuna haja ya kuogopa wapo single mama walioumizwa na wanahitaji mapenzi tena ya dhati, na ni wake bora na wanaojitambua muhimu ni mkubaliane namna ya kuhandle hiyo situation...
kama unapesa utapata unayemtaka
Hata Mimi tena nikidate na single mother huwa sirudiagi Mara mbiliaise nikishajua umezalishwa hata nyege hazipandi kwa kweli..kabisaa yaan alikojolea huko mtu na mtoto juu nikuoe??never happen
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ile kitu inatema visivyotumika kuwa na amaniaise nikishajua umezalishwa hata nyege hazipandi kwa kweli..kabisaa yaan alikojolea huko mtu na mtoto juu nikuoe??never happen
yaan labda kama nina nyege sana na ukute ni cute kama zari naweza lala nae for fun..after that huyoooHata Mimi tena nikidate na single mother huwa sirudiagi Mara mbili
aise nikioa single maza naona kama ataja nizarau as tayari ashajua na kuonja uzazi..mkisha zeeka huko atajasema ndo maana umeoa makombo[emoji1] [emoji1] [emoji1] ile kitu inatema visivyotumika kuwa na amani
Hahahaha mzazi umeua hapo kwenye kipasha kiporo ili kiliwe tena.u have a point, lakin vp mambo ya kupasha kiporo
Hahahahaha mkuu huu wasiwasi wako wa kupasha kiporo umetisha captain.wasiwasi wangu mkubwa ni kama ataamua kupasha kiporo
Ha ha huna akiliaise nikioa single maza naona kama ataja nizarau as tayari ashajua na kuonja uzazi..mkisha zeeka huko atajasema ndo maana umeoa makombo
vibinti vibichi vipo banaHa ha huna akili
Nimekuelewa mkuuvibinti vibichi vipo bana
hao single maza wapambane na hali zao..kuna wazee wastaafu huko na wagane wawafwate
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]mmh wakati nyie ndiyo mnawafanya single mama..
Singo maza wanawezana na singo faza..
Mi sikushaur uoe single mother hata kidogo nachojua mimi kama mwanaume mwenzako alikimbia we ndo una unaponea hapo
Any way kama umejiandaa kwa lolote ikiwa pamoja na kuchapiwa we oa tu
Kuna single mother mi nilitaka kumuoa ila kuna tabia zilianza kunishinda siku moja nampigia cm ananiambia yupo na mzazi mwenza kwao sikujua kilichoendelea kuja kumuuliza hakunambia chochote zaidi ya kunambia alikuja kumsalimia mtoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahatatizo lenu kubwa hamkawii kupasha kiporo