Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Daah naona unatafuta likes za kina dada na kukubalika sjui ni chakula hicho [emoji848]
Mkuu Nyerere ametoa Mada kwa hyo kile alichoandika mtu mara nyingi ndo kimemkuta? Alikwambia amenyooshwa na single mother?

Kama hajasema hvyo mwenyewe naona Mada imekushinda unatumia defense mechanism kwa mkuu nyerere
Kweli wewe ni Mlevi mmoja.. Nenda kaangalie profile yangu ina likes ngapi angalia na yako[emoji23][emoji23] Kijana acha ulevi hapa tunaelimishana kuacha Mitazamo Hasi juu masingle mother kosa la mwanamke na mwanaume lakini mzigo wote wa dhambi anabebeshwa mwanamke hizo zama za Kuwakandamiza wanawake zimepitwa..!! Usikute kwenye familia yenu pia Kuna single mother.
 
Anakurudisha tena nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@Nyenyere,twende mbele tusirudishane nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo tunaanza kudhibiti wezi kwanza ndio tunatunza mali au tunatunza mali huku tukidhibiti wezi? Mnakosa maarifa madogo tu, itoshe kusema basi acheni milango wazi kwa sababu tutadhibiti wezi. Jiwekeni kikahaba kwa sababu tutadhibiti wanaume wasiwatongoze
 
Kweli wewe ni Mlevi mmoja.. Nenda kaangalie profile yangu ina likes ngapi angalia na yako[emoji23][emoji23] Kijana acha ulevi hapa tunaelimishana kuacha Mitazamo Hasi juu masingle mother kosa la mwanamke na mwanaume lakini mzigo wote wa dhambi anabebeshwa mwanamke hizo zama za Kuwakandamiza wanawake zimepitwa..!! Usikute kwenye familia yenu pia Kuna single mother.
Mkuu em nikuache kidogo utembee nao...washaelewa ila wanajikuta Van Damme..in 'No retreat No surrender'...

Nyooka nao.
 
Sasa hilo swali muulize muumba usiniulize mimi maana yeye ndiye aliyeruhusu hii dunia ya sasa kuwe na ndoa zenye waume waovu na wake wema na zinadumu na vile vile ndoa zenye waume wema na wake waovu na zinadumu!!

Unaonaje ukanijibu pia hili swali biblia inasema "mshahara wa dhambi ni mauti" si ndiyo haya je ni watu wote duniani wanaokufa wanakufa kwa ajili ya dhambi zao na je sisi tunaoendelea kuwa hai ni kwamba ni watakatifu hatuna dhambi??
Biblia inasemaje kwani: mume mwema anatoka kwa Bwana au mke mwema anatoka kwa Bwana?
 
Sitaki under 20 single mother sitaki kabisaaa
 
Rare cases?? Man you need more exposure more than you think!!
Ni sawa na jambazi ambaye hajashikwa na amefaulu kuwekeza kwenye biashara kubwa, hizo zinaitwa rare cases. Sihitaji kuzijadili kwani hoja ni too low.
 
Kweli wewe ni Mlevi mmoja.. Nenda kaangalie profile yangu ina likes ngapi angalia na yako[emoji23][emoji23] Kijana acha ulevi hapa tunaelimishana kuacha Mitazamo Hasi juu masingle mother kosa la mwanamke na mwanaume lakini mzigo wote wa dhambi anabebeshwa mwanamke hizo zama za Kuwakandamiza wanawake zimepitwa..!! Usikute kwenye familia yenu pia Kuna single mother.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MLEVi Mmoja nakutafuta...sijasahau na Wala usijisahaulishe.
 
Kwa hiyo tunaanza kudhibiti wezi kwanza ndio tunatunza mali au tunatunza mali huku tukidhibiti wezi? Mnakosa maarifa madogo tu, itoshe kusema basi acheni milango wazi kwa sababu tutadhibiti wezi. Jiwekeni kikahaba kwa sababu tutadhibiti wanaume wasiwatongoze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee...brother usitumie hasira.
Kuwa mpole
 
Hata siku moja mwanaume hawezi kusimama kwenye nafasi ya mwanamke na wala mwanamke hawezi kusimama kwenye nafasi ya mwanaume yaani kwamba hakuna anayeweza kusimama kwenye nafasi ya mwingine hivyo kila mtu asimame kwenye nafasi yake

Nikimaanisha mwanaume asimame kwenye nafasi yake na mwanamke asimame kwenye nafasi yake sasa ingekuwa vizuri kama hiyo sentensi yako ya mwisho ungewaambia wanaume wenzio ambao wao kubadilika wanasubiri eti hadi mwanamke abadilike imagine mtu anakwambia wanawake anzeni kubadilika wanaume watafuata seriously?? Kila jinsia inatakiwa ibadilike kwa nafasi yake huu ndiyo ukweli!!
Nimekubali kwa kukupatia njia upite. Mwanamke simama kwenye nafasi yako.
 
Akitaka, kuzaa nje ya ndoa maana yake mwanamume hana malengo na mwanamke huyo, ama hajafikia maamuzi ya kumheshimisha kwa kumuoa.
Kwahiyo hapo mwanaume anakuwa hajafanya makosa anakuwa yuko sahihi kabisa??
 
Naishi kwenye jamii ya kawaida kabisa. Naweza kukukaribisha kwangu pia ukitaka unichunguze vizuri. Sema mimi sina tabia ya kujipendekeza, kwenye ukweli nasema watu waumie kisha wapone.

Kurubuni mabinti wadogo, wazazi wako wapi kuwalinda? Jamii iko wapi? Kuna kosa kubwa tunalofanya wazazi kuhusu watoto wetu, nitalisema siku nyingine. Lakini hilo haliondoi ukweli.

Ndoa sio taasisi ya huruma, kuna kanuni zake.
Wewe unadhani kila ndoa iliyodumu imefuata hizo kanuni unazozijua wewe?? Na kwahiyo wazazi wanatakiwa wawalee vizuri watoto wa kike tu ila watoto wa kiume walelewe vibaya ili waje kurubuni watu siyo??
 
Oohh kwahiyo sasa utajuaje kama mwanamke alipata mimba kwa sababu ya kubakwa je kama alipewa mimba na mwanaume ila akatelekezwa?? Si anaamua kukudanganya tu kuwa alibakwa??
Mdogo wangu, mimi nlishaachana kujibizana na wewe kwa sababu ya hoja zisizo na mashiko kama hizi.

Sawa in a way unajaribu kutetea jinsia yako na kuielimisha jamii juu ya kuwaheshimu na kuwatendea haki wanawake but you overstep na kujikuta unatetea hata upuuzi.

Mbona Nyenyere alishazitoa exceptions zote juu ya hili suala??

Whatever you are doing, nadhani unaishusha hadhi yako kwa mabishano ambayo ukweli wake unajulikana. Mimi nadhani you gotta call black, black and white, white.

Kila la kheri!
 
Mdogo wangu, mimi nlishaachana kujibizana na wewe kwa sababu ya hoja zisizo na mashiko kama hizi.

Sawa in a way unajaribu kutetea jinsia yako na kuielimisha jamii juu ya kuwaheshimu na kuwatendea haki wanawake but you overstep na kujikuta unatetea hata upuuzi.

Mbona Nyenyere alishazitoa exceptions zote juu ya hili suala??

Whatever you are doing, nadhani unaishusha hadhi yako kwa mabishano ambayo ukweli wake unajulikana. Mimi nadhani you gotta call black, black and white, white.

Kila la kheri!
Hivi kumbe na wewe umewahi kubishana!?
 
Back
Top Bottom