Unacho sema ni kweli kabisa hasa hiyo no.2Kisaikolojia,kuna mambo kadhaa yanayoweza kuwa sababu
1. Mama amekuzwa kwa mtindo huo wa matusi na kipigo,the way alivyolelewa ndivyo anavyolea
2. Defensive mechanism, maana ake kuwa maumivu na stress za kuwa single mother zinhamia kwa mtoto.
3. Watoto wengi wamakuwa na makuzi ya kuamini na kuogopa sura ya kiume,so anapokuwa na mama pekee hufanya kudeka na bahati mbaya sasa ukute mama n mwenye huruma sana adhabu zake ni maneno sana au hakuna KABISA (kudekeza)
4. Kukosa uwezo wa malezi (parenting style) mzazi hajui malezi sahihi, wengi wanatumia uzoefu sana kuliko proper strategies
Anyway kuna weza kuwa na sababu nyingine lakini hiyo hali inaweza kutokea hata kwenye familia ya wazazi wote wawili,,issue kubwa kwa wazazi ni NAMNA YA MALEZI BORA NA SIO BORA MALEZI ( PARENTING STYLE SKILLS)
Acheni kuatusi na kuwapiga Wtoto wenu .. Kwa kweli nina mfano hai mdau ulicholeta ni hakika kabisaMbona mnatusema sana single parent
Hiyo hasa ukute mume anamtenda sana mke hapo hasira zinaishia kwa mtoto na kauli ya "...baba yako ananiumiza kichwa na wewe unanisumbua...pumbavu" hapo mtoto anapewaSio hao tu, bali hata walio kwenye ndoa ambazo mume ana muda mchache wa kukaa na mkewe pia watoto hupata vipigo. Inasemekana mwanamke anakuwa na mambo mengi ya kusema na mumewe. Lakini anapokuwa amekosa pa kuongelea basi huwa na hasira zisizokuwa na sababu, na ndio huishia kwa mtoto.
Inaelekea upepo wa ngosha unakuendea vizuri... Nitajenga kila mkoaNaomba kuuliza,....umeshajenga au bado tu unapanga?
Haswa lazima itokee hivyo. Inasemekana mwanamke ana maneno mengi sana ambayo hayo yote yanatakiwa yatuliwe kwa mumewe, hata kama hayana faida lakini madam ameyasema kwake hiyo ni faraja tosha. Akikosa sehemu pa kuyamwaga hata mwanamke mwenzie anakuwa adui.Hiyo hasa ukute mume anamtenda sana mke hapo hasira zinaishia kwa mtoto na kauli ya "...baba yako ananiumiza kichwa na wewe unanisumbua...pumbavu" hapo mtoto anapewa
Sio ya kukosa hii
Hebu weka agenda watakazo zungumziaSio ya kukosa hii
Upo sahihi sio single mothers wote, ila ukichukua parcentage ya wastani wa watoto wanaochezea kichapo au/na kukoga matusi asilimia kubwa inaenda kwa watoto wanaolelewa na single mother hasa ktk jamii zetu masikini ambapo mama hana kipato cha uhakika, mara nyingi hasira anapeleka kwa mtoto asiye na hatiaSio wote mwanangu nampenda kupitiliza hadi naambiwa na mharibu kumpiga labda unikose maana kumdekeza kumemfanya awe na ka ujeuri flan kumtukana hata siku mmoja zaidi ya kumtania masikio hayo inatagemea umeachwa kwa maxingira yap na baada ya kutendwa na ukatoa msamaha namsamehe huyo utaishi maisha ya raha sana sema wengi bado hawafahamu hili
Fanya utafiti kidogo tu maeneo unayoishi wakusanye watoto kumi waulize swali mara ya mwisho umepigwa lini na mama yako watakao kujibu wamepigwa au kutukanwa waulize unaishi na nani then angalia uwiano utakuja rekebisha kauli yako hapaNikiwa na experience ya kutosha.
Ulichokisema hakina ukweli wowote.
Wakati mwingine anamtukana mwanaye kumbe anajitukana yeye bila kujuaNina jirani yangu hapa single mother kila siku anawatukana wanae mapacha matusi ya nguoni..... Tusi alilowapa leo mchana lilinitisha ilibidi nitafute safari ya ziada