Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuwaondoa hata kwa nguvu mkuuhahahaha wana anzaje mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwaondoa hata kwa nguvu mkuuhahahaha wana anzaje mkuu
hahahahaha hata kwa wizi na dhuruma maana wamesha tuumiza sana.Kuwaondoa hata kwa nguvu mkuu
iyo inaitwa dabo deki, lazima ahisi dunia imemuelemeaNa single mother akiwa hana ajira inakuwaje hapo?
Ndiyo hivyo mkuuhahahahaha hata kwa wizi na dhuruma maana wamesha tuumiza sana.
kabisa bora ukose ndoa tu....si watotoBora stress za kuitwa single mother kuliko mgumba
Duh... stress za kuonekana kama hujaolewa bac ww ni mhuni je?Bora stress za kuitwa single mother kuliko mgumba
Mara mia ivo kuliko masimango ya kutozaaDuh... stress za kuonekana kama hujaolewa bac ww ni mhuni je?
Mnataka kusema kwamba.. maisha ya sasa mtoto kwanza ndoa ni majaliwa?Bora usingle mama masimango ya ugumba [emoji15][emoji15]
Bala shaka ndio ukweli kiupande mwingine...Mnataka kusema kwamba.. maisha ya sasa mtoto kwanza ndoa ni majaliwa?
Ndioo imekuwa vice-versaMnataka kusema kwamba.. maisha ya sasa mtoto kwanza ndoa ni majaliwa?
Umeona eeMawifi wenyewe wa siku hizi na wakwe uolewe tu usizae utajutaa kwa nini uliolewa...lakini ukiwa na watoto na pesa hata ww mwanamke unaoaa tu wanaume kibao wanapenda mseleleko