Yaa ni kweli yani, ikifika usiku anawaambia mfu asipamde kwenye maziwa yangu....Wakati mwingine anamtukana mwanaye kumbe anajitukana yeye bila kujua
Mkuu naona umerudi kwenye nafasi yako, ,..Hahaha pole mkuu...Pambana tu...hata Single mother na yeye anaamini ataolewa siku moja tu
usiwaze...Mkuu naona umerudi kwenye nafasi yako, ,..
huyo dr lutegwe alikuwa ameajiriwa wapi mkuu?kuna watu watakwambia kajiajili, waulize dr lutegwe aliye hamasisha kilimo cha miembe kwa vijana wasio na ajira. alipo fukuzwa alikumbuka kilimo icho ama aliishia kulia kama nyau mbele ya waandishi asamehewe.
alikuwa mkuu wa mkoa katavi akahamishiwa morogoro akashindwa tatua mgogoro wa wakulima na wafugaji ile kuambiwa apishe nafasi alilia kama mtoto huwezi amini kama ana Phdhuyo dr lutegwe alikuwa ameajiriwa wapi mkuu?
hawa ndio zao kutoa ushauri ambao ni rahisi kuongea tu ila kivitendo hautekelezeki. Aibu kubwa sana yaani Phd mzima uwezo wake wa kufikiri unaishia kwenye kuajiriwa tu bila kuajiriwa anaona atakufa 🙂alikuwa mkuu wa mkoa katavi akahamishiwa morogoro akashindwa tatua mgogoro wa wakulima na wafugaji ile kuambiwa apishe nafasi alilia kama mtoto huwezi amini kama ana Phd
tafuta video yake youtube utacheka, ila wakiwa na vyeo vya kisiasa wanaongea kwa kujiamini kama vile wao wamejiajilihawa ndio zao kutoa ushauri ambao ni rahisi kuongea tu ila kivitendo hautekelezeki. Aibu kubwa sana yaani Phd mzima uwezo wake wa kufikiri unaishia kwenye kuajiriwa tu bila kuajiriwa anaona atakufa 🙂
nipe link kama unayo au keywords za kusearch hiyo video mkuutafuta video yake youtube utacheka, ila wakiwa na vyeo vya kisiasa wanaongea kwa kujiamini kama vile wao wamejiajili
hahahahahaha! ccm wao wanasema tatizo la ajira ni dunia nzimaMatatizo yote yameletwa na CCM.
andika tu mkuu wa mkoa morogoro itakuja mkuunipe link kama unayo au keywords za kusearch hiyo video mkuu
Wawapishe wenginehahahahahaha! ccm wao wanasema tatizo la ajira ni dunia nzima
hahahaha wana anzaje mkuuWawapishe wengine