Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nataka unipe maelezo hayo kutoka kwa Yesu kwamba Yesu amesema hivyo kwamba kuna mungu mwana,kuna mungu roho.

Weka andiko fasta tuokoe muda.
Kwanini unataka kutoka kwa Yesu na sio Mungu Baba?
 
Usiniambie nichukulie.
Nambie kitu halisi..nianze kuchukulia mfano na wakati unaweza ongea bila mfano.
Tafuta Kama hukumbuki..nasubiri majibu.

Halafu mbona umekazania ubakaji,,wapi nimekuuliza kuhusu ubakaji!?
Mbona unajihami hivyo Zurri?
 
Usiniambie nichukulie.
Nambie kitu halisi..nianze kuchukulia mfano na wakati unaweza ongea bila mfano.
Tafuta Kama hukumbuki..nasubiri majibu.
Nimeweka hivyo kutokana na msingi wengu ni kuwa umri ulikuwa mkubwa ndio maana mnasema alibaka.
 
Usiniambie nichukulie.
Nambie kitu halisi..nianze kuchukulia mfano na wakati unaweza ongea bila mfano.
Tafuta Kama hukumbuki..nasubiri majibu.

Halafu mbona umekazania ubakaji,,wapi nimekuuliza kuhusu ubakaji!?
Mbona unajihami hivyo Zurri?
Wewe si uliniuliza kwamba kama kweli mtume amebaka au la ?!

Ushasahau mara hii ?
 
Nimeweka hivyo kutokana na msingi wengu ni kuwa umri ulikuwa mkubwa ndio maana mnasema alibaka.
Mimi wapi nimesema alimbaka?
Mbona unanipa majibu ya maswali nisiyoyajua.
Nasubiri umri halisi ,,,hujanijibu bado,naona unazunguuka
 
Mimi wapi nimesema alimbaka?
Mbona unanipa majibu ya maswali nisiyoyajua.
Nasubiri umri halisi ,,,hujanijibu bado,naona unazunguuka
Wewe si uliniuliza kama hayo yanayosemwa ni kweli au ?
 
Wewe si uliniuliza kwamba kama kweli mtume amebaka au la ?!

Ushasahau mara hii ?
Hilo si umelijibu na nikakuuliza swali jingine!??
Mbona unang'ang'ania kujibu swali lile like ulilojibu na wakati umeulizwa swali lingine..
Ni Kama mtihan ,,wewe swali la kwanza Hadi la mwisho unajibu jibu moja kwa maswali yote.
 
Wamemchokoza kibenten wako,na mimi siwaachi hawa mpaka wakimbie.

Nimewaambia hivi,huwa siitiki mpaka niitwe,wameniita nimeitika.
Ndio tumekuita kafiri.
Hivi unadhani Nani anakuogopa.
Ukiona wameondoka ujue Ni kwa interest zao tu na ratiba zao ...usije ukadhani watu wanakuogopa.
 
Splendid
 
Oohh kwahiyo kumbe shida ni kuonekana na watu na siyo kuonekana na Mungu?? Na hata hivyo hao watu ni kina nani hadi mimi niogope kwamba watanionaje??
Wao ni mazwazwa ila wewe utakae ombwa na kutoa ndio utaonekana zwazwa zaidi kwa kukubali kwako.

Kwa maana hiyo uzwauzwa unaonekana sana kwenu,kwa kukubali kushawishiwa.
 
Sasa hizo akili za chini kwanza hazipo,mkiambiwa mazwazwa mnalia lia,kuna akili za chini tangu lini ? Hasemi maneno haya isipokuwa mtu asie jua akili ni nini ?!
Unajua akili za chini Ni zipi!?
Wewe ita majina yote unayoweza..Wala haututishi bwana.
 
Oohh kwahiyo kumbe shida ni kuonekana na watu na siyo kuonekana na Mungu?? Na hata hivyo hao watu ni kina nani hadi mimi niogope kwamba watanionaje??
Sasa suala la Mola si liko wazi bibie kwamba jambl hilo ni baya na anatuona ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…