Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ndiyo hapo sasa utadhani yeye ndiye mwalimu anayeheshimika duniani kote mwenye elimu ya dunia na tuzo kama zote kumbe ni kamwalimu kamoja ka mtakuja primary school ndiyo kanatolewa mfano hapa
Hivi huyu panthasajana ameingiaje kwenye mada?[emoji3]
 
Ndiyo hapo sasa utadhani yeye ndiye mwalimu anayeheshimika duniani kote mwenye elimu ya dunia na tuzo kama zote kumbe ni kamwalimu kamoja ka mtakuja primary school ndiyo kanatolewa mfano hapa
Halafu nae eti anapata nguvu kabisa ya kukutishia na huyo panthaleo[emoji3][emoji3]
 
Mada ni single mother sio nje ya hap9
Mkuu hiki unachokiona hapa sio cha kisikushangaze sana, ndivyo walivyo hawa, ndivyo namna ambavyo wanavyoshiriki mada, ndivyo uwezo wao wa kushiriki mijadala kama hii ulivyo, sidhani kama wanaweza kuchangia mada kwa namna nyingine tofauti na hapa.

Mara nyingi kwenye mada inayo mlenga mwanamke kwa namna wasioipenda wao hasa kama inagusa uozo wa mwanamke utawaona wanakimbilia kutaka na wanaume nao wahusishwe kwenye uozo huo, haijalishi hata kama hakuna umuhimu wa kumuhusisha mwanaume kwenye mada hiyo wao watasimamia hapo hapo wanapotaka wao. Hili tu washinde mabishano na kufunika uozo wa wanawake wenzao.

Ndio maana hapa tunaona wanakomaa sana ku-divert hii mada kuipeleka kwenye namna wanavyotaka wao.. Wanaume hivi wanaume vile blah.. blah.. Bulshiit

Usitegemee zaidi ya hicho kwenye argument zao.

Ndivyo walivyo hawa, ndivyo uwezo wao wa kushiriki mijadala kama huu ulipoishia hawana uwezo wa kujadili kwa namna mada ilivyo japo kuna mmoja aliofanya hivyo.

Nimeona pia kuna wanaume pro-single mothers wamekuja na mihemko yao utafikiri labda ndio single mothers wenyewe, hao nao usiwashangae sana sio makosa yao. Kumbuka kizazi hiki cha kiume tulichonacho ni kizazi kilichomezwa na uanamke.

Tuko katika zama ambazo zaidi ya 80% ya wanaume wote wamemeza na mfumo jike na wanaishi kwa kuwafurisha wanawake, na hao ndio wabariki wakubwa wa uozo wa wanawake tunaouona leo, maana muda wowote wako tayari kutetea ama kukingia kifua wanawake pale upuuzi wao unapoongelewa. Na mara nyingi wanaibuka kuwatetea wanawake pale upuuzi huo wa wanawake unapoongelewa na wanaume wenzao. Hawa mimi nawaita FEMALE ASS-KISSING ZOMBIES.

Mtu anakwambia eti 80% ya single mothers chanzo ni wanaume, sasa mwanaume kama huyu bado ana uanaume wake asilia kweli? Si tayari ameshatengenezwa kuwalamba makalio wanawake..!!

Na ndio maana hata wanawake wenyewe siku hizi hawaoni soni kufanya mambo ya ovyo ovyo yenye athari kwao sababu wanajua jamii yetu ina watu wa ovyo ovyo watakaowatetea tu na kuwaonea huruma.

Pasi na shaka haya mengine yako kwenye ufahamu wako!!
 
Wewe Zurri acha kunichekesha
Hivi hili naloinahitaji maandiko.
Nimekuonyesha hapo mfano wa Adam..
Sitaki kukupa andiko jingine kama hili tu la uumbaji haulijui
Unanikumbusha mada fulani kuhusu sheria kibadilila,kuna mmoja akawa anadai ya kuwa sheria hazibadiliko mimi nikamwambia zina badilika.

Adamu na Hawa walikuwa wawili tu,na sheria yao iliwahusu wao ndio maana hapakuwa na ndoa kama ziivyokuwa kwetu na utaratibu ule ulikuwa halali kulingana na hitajio.

Utaratibu mwingine ukaja,baada ya uzao wa kiba Haabil na Kaabil,watoto wa kiume wawili,unua hawa waliozeshwaje wake zao ? Naacha kiporo,tafuta majibu mwenyewe.

Narudi sasa katika hoja yako,hoja ya Adamu na Hawa haionyeshi ya kuwa mwanamke mmoja ni kwa mwanaume mmoja,sababu sheria yao ilikuwa tofauti na yetu,pili hoja yako inapingwa na mazingira bali na maandiko ya mitume walio pita na manabii.
 
Mimi ninakuomba ili tujenge taasisi ya famili na kulinda kizazi chetu,na omba yangu mimi ni tofauti na omba ya hao.

Unataka nikueleze vipi bibie unielewe ? Mimi hutajilaumu kabisa ukinikubalia.
 
Tukianza na uelewa wako tu wenyewe unaotia mashaka tele... Mimi binafsi sioni sababu ya kutohitimisha kwamba elimu uliopewa ni tia maji maji.
Huyo mwalimu wako Panthaleo nina mashaka na elimu yake[emoji23][emoji23]
 
Agano jipya imesisitiza pia Mtu kuwa na mke mmoja.
Hii ya ndoa mmeibadilisha wewe na mtume wenu huyo Muhammed
 
Naona nyite mnafanana,na nimekuuliza maswali rahisi sana lakini unashindwa kujibu.

Nimekuuliza hivi unajuaje kama jambo fulani ni kweli na jambo fulani ni uongo ?

Kwako wewe unaona mazoea ndio kipimo cha ukweli sio ? Jibu swali langu.

Au nikupe maana ya ukweli na uongo,ili upate pa kuanzia ?
 
Mazoea gani!???
Wewe ndio unashindwa kuelewa vitu vidogo Kama hivi vilivyo wazi kabisa.

Akawaambia kwamba muwe mnamtetea...ndio mtume wenu,,,,sijawahi ona mtume wa hovyo namna hii.
Ndiyo maana kwenye list ya wale mitume waliopo kwenye Biblia huyu mudi hayupo
 
Naona umehamisha mada,huku unapoingia hakikisha umejipanga bibie,maana nitafunga milango ushindwe kutoka ? Unabisha ?

Mimi nakuuliza maswali marahisi unatafuta huruma,hivi kweli ,mara ooh hivi unadhani ? Uandikaji hu huonyesha kwamba umeshindwa hoja unatafuta pa kutokea.

Naendelea kukusaidia,ubaya wa jambo na uzuri wa jambo huwa mnaujuaje ?

Maana kwenye uongo na ukweli naona umeshindwa.
 
Milango gani nishindwe kutoka!??.acha kuchekesha watu.
Huruma gani niitafute!??
Huo ndio ukweli ,mtume wenu Ni mhuni kupindukia

Andiko lingine la mume na mke mmoja Hilo 1kor7:1-6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…