Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Na watoto wa kike waliolelewa na Single mama wana Over confidenc balaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Wanahisi wanaweza ishi bila mwanaume kabisaaa...
Hao sijajua kwa kweli.
Ila single mama tu anakuwa na jeuri ya kusema lolote Maana anaplay part ya baba pia.
 
Nani alikudanganya mwanamke lazima ugawe uchi wake? Mume haombi uchumba gesti. Ukiona hivyo ujue binti naye hajitambui
 
Kwa hiyo sisi tunajua kuliko Yule aliyetufundisha tutambue hilo?
 
Hata wewe waweza kufanya hivyo
 
Nani alikudanganya mwanamke lazima ugawe uchi wake? Mume haombi uchumba gesti. Ukiona hivyo ujue binti naye hajitambui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unavyosema asigawe uchi utadhani huwaga Huombi nyuchi wewe...!! Wee jamaa punguza unafiki kidogo bhasi... Mwanaume kamili anapokuwa na mwanamke hilo ndo jambo Kubwa liloweza kumfurahisha kwenye mahusiano na demu hawezi sema abane alafu kesho mzee baba kama wewe unaenda kutafuta kwingine... Sasa tatizo unaepewa ndo huna plan zozote nae unakula pekuu..
 
Na watoto wa kike waliolelewa na Single mama wana Over confidenc balaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] Wanahisi wanaweza ishi bila mwanaume kabisaaa...
Hizi comments zinaonyesha mtazamo wako
 

Asante sana mkuu, tuungane pamoja kukisema ambacho jamii inakiogopa ingawa ni ukweli unaojenga
 
The Bitter Truth!
 
Dada zetu na mama zetu wanaishi maisha ya taabu sana kweli hili bara la giza. Huu ujinga wa kuwasemasema single moms lazima ukomeshwe.

Kulingana na mila NA desturi za mwafrika, suala LA kuwasemasema single moms haliwezi kukoma wala kukomeshwa KWA sababu ktk jamii zetu inaonekana dhahiri hao single moms tayari wamejikomesha wenyewe kwa kutaka balaa LA kuandamwa NA stigma hii kutokana na kuzaa nje ya ndoa, tena bila ya mpango au utaratibu.
 
Madada zetu,jitunzeni jamani.Binafsi,kwa mtazamo wangu na kwa niliyoyashuhudia hapa chini ya jua kuoa single mother kuna changamoto in many cases,few of them ni watulivu.Ila kwa walio wengi kwakweli siyo.Vinginevyo mkutane wote mmeshakuwa na watoto tayari,labda itasaidia kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…