Mmeanza Tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acheni jamani...
Mkianza Tena atakuja nyenyere hapa...mhurimie amechoka,[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Yosefu
DuuhSiyo neno la Kisukuma. Na Kisukuma hakina r. Kukaa kimya ni gufumula (Kinyantuzu) au kufumula (kinang'weli)...
Bora uishie hapo..Wote wako kwa Trump hao. Tena mmoja wao midola nje nje. Naomba niishie hapa...
Isije ikasemwa kuwa tumekaa tunajadili watu...[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa uanze kuongea kisukuma..
Kiswahili nilikwambia huwezi Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]Ah yule si anapenda mwenyewe nyuzi zake zifikishe comments 1000> unadhani anachoka?? Yaani yeye hivi ndiyo furaha yake!!
It's Ronaldo Messi and not Cristiano LionelBut there must one you have more crush on. whom one exactly?
Nimeshashtuka japo pia siyo vibaya kwa vile tumewataja tu kwa kupita....Bora uishie hapo..
Kuna watu walishasutwa humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji10]Aisee acha kunichukulia poa ehee!!
NdioNimeshashtuka japo pia siyo vibaya kwa vile tumewataja tu kwa kupita....
Whooii[emoji134][emoji134][emoji1751]Sawa mdogo wangu kila la heri kwa SHIMBA YA BUYENZE
Afu kweli
Ndio maana nimesema wewe kisukuma bado mtupuTatizo hii lugha nayo pana mno!! Tena kwa sisi ambao hatuiongei mara kwa mara hatujui hata tofauti ya kimatumizi kati ya kundi moja na lingine kwenye neno lile lile.
Mnizubue na magumi huko..nataka Mimi magumi.
Kwa Jinsi ninavyoogopa ng'ombe..sidhani Kama naweza kukamua maziwa.
Kwani Lizarazu wewe ni mzima sasa??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Itabidi nianze kusoma post zake nikiwa peke yangu.... Maana nikiwa mbele za watu naishia kuonekana chizi
Kuna wakati wakibadilika wanaweza kukutandika na mateke.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye kuogopa ng'ombe tuko wengi mimi kama natembea barabarani nikikutana na ng'ombe nawapisha kama ambulance nawaachia barabara yote wapite kwanza sembuse kuwakamua maziwa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373][emoji1373]Kwani Lizarazu wewe ni mzima sasa??
Yeah Kiranga baba laoNaye anajitahidi Ila hajamfikia kiranga
Mshana kawaida tu tena cha kwake kina kwikwi sometimes. Kwa maoni yangu ni Kiranga, Nyani, Lizarazu halafu na wengine wanafuatia....