Ukishajaza hivyo vitu kichwani mwa mwanao utakuwa ushamkomoa baba ake? Single mothers bhana.....Umezaa na vipuuz wewe..au sijui ndo wanakutegemea so unatake advantage, zaa namm uone ka uyo mwanao ajakuitia mwizi njiani mkikutana, mimi ndo nalea mimi ndo najua nn cha kujaza kwenye ubongo wa mwanangu, na si unajua vile mtoto akikariri kitu hahahaaa.
Mimi nimeolewa juzi tu na mwanume mwenye mtoto, jamani najutaaaaa. Kama isingekuwa ndoa ya kanisani tungeshaachana, japo sijui yakinishinda nasepa tu. Lakini kusema kweli ni mtihani.
Loh! Mi sina dame aliyejazwa mimba. Una strss za maisha nini? Uzi una miezi kadhaa ndio unarudi leo? Mi nina mke and enjoying my times.Hata unavyojibu kitotototoo
Pole kwa Demu wako kujazwa mimba
Si kwa Povu hili
Who called you here moda faka? It's a free forum here if you think it bothers u just leave it as it is. Those with brains have gotten my point but not an asshole like you. Did I instruct anybody what to do?If not you why coming here mamaring? Are you crazy or what?
Who are you to judge and to tell what to do?
Get lost and go to hell.
Uandishi una style nyingi. Hapo limekuja kama bango au tangazo lenye kuonesha msisitizo. Tunaweza tumia maneno hayo hayo kuandika na ikaonekana mwandishi alikua ana upole.Mbona kama ume panic hivi??
Hebu tulia kwanza twende taratibu.... Ni nini kimekusibu?
Mwaka umeisha sijawa single faza. Lete utabiri wako mwingine.Bac utakua humpnd uyo girlfrnd ulie nae, hauna malengo nae kuna vbint Vko kwenye adolescence age na hua vnahtaji ushauri wa hal ya juu coz hua wanavamia mambo bila kuelewa ukisema shauli ake, Brother i promice u ur soon going to be a single father Or father of someone
Hivi wapi nimemlazimisha mtu? FoolishKinachounganisha watu ni mapenzi, usilazimishe watu kuwa na mtazamo kama wako.
Kama wewe ulivyo mpumbavu.Upumbavu
Lame excuses. Ni upumbavu wa kiwango cha juu sana mtu kutafuta escape goat.Mkuu usitoke nje ya mada .... Hayo yote yanajulikana ...so kwa mwanamke mwenye utimamu wa akili lazima awe makini kwenye swala LA ku sex na sio ajiachie tuu kijinga apigwe mimba asingizie et mzunguko wake ulibadilika sababu n kawaidah MTU akihama mazingira. Yan usitafute point ya kutoonekana una makosa
Raia wewe usiyejua hata kuandika? Mkishauliwa? LMFAOTatizo lenu vijana mkishauliwa msichague facilities zenye ushindani mnajifanya kukomaa vichwa, ona sasa mnavyopata tabu sn
Sasa kama mama yangu alikosea ndio kibali cha wanawake wote kukosea?usikute yy mama yake aliolewa akiwa single mother
Imani ya kitoto hiyo.Mara nyingi ukiwa u akipinga kitu ndicho kinakutokea na unakipenda haswaa
Ndo umlaumu kwanza baba yako kutokuwa rijali...!! Alafu uje tena kuanzisha uzi kuhusu wanaume wa zamani na wa sasa kutokuwa marijali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama mama yangu alikosea ndio kibali cha wanawake wote kukosea?
Hii haihusiani na dini. Mtu awe na dini asiwe nayo, human nature ni ileile. Biology ni ileile kwa mwenye dini na asiye na dini. Ukiotesha katika mazingira muafaka ya kibayolojia kitu kinaota, ndivyo nature ilivyoWewe ni muumini wa dini gani hebu tuanzie hapo kwanza??
Baadae utakuja kushangaa huyo mwanao atakavyokuja kuungana na babake ukubwani licha ya urojo wote huo. Na atagundua kumbe wewe ni hovyo sana. Atakuheshimu ni mama yake lakini atakuona boya.Umezaa na vipuuz wewe..au sijui ndo wanakutegemea so unatake advantage, zaa namm uone ka uyo mwanao ajakuitia mwizi njiani mkikutana, mimi ndo nalea mimi ndo najua nn cha kujaza kwenye ubongo wa mwanangu, na si unajua vile mtoto akikariri kitu hahahaaa.
Haujajibu swaliHii haihusiani na dini. Mtu awe na dini asiwe nayo, human nature ni ileile. Biology ni ileile kwa mwenye dini na asiye na dini. Ukiotesha katika mazingira muafaka ya kibayolojia kitu kinaota, ndivyo nature ilivyo