Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kutenda napenda
Ukinipa natenda
Na nikitenda unakwenda

By Mgosi Mgosingwa
 
Haki waalimu wana kazi ngumu sana
Unataka walimu wafanye nini ili ninyi single mothers mkubalike? Haitatokea labda karne ijayo. Hata wazaliwa wa single mothers hawapendi single mothers.
Haohao single mothers hawataki kuletewa wakwe ambao ni single mothers. Mjue msivyotakiwa.
 
Unataka walimu wafanye nini ili ninyi single mothers mkubalike? Haitatokea labda karne ijayo. Hata wazaliwa wa single mothers hawapendi single mothers.
Haohao single mothers hawataki kuletewa wakwe ambao ni single mothers. Mjue msivyotakiwa.
Umeishiwa hoja umeamua sasa utumie personal attack siyo?? Aise kazi kweli kweli!!
 
Umeishiwa hoja umeamua sasa utumie personal attack siyo?? Aise kazi kweli kweli!!
Nimeishiwa hoja ipi? Watu hawataki single mothers, na watu hao ni pamoja na single mothers wenyewe hawataki uchuro huo ujirudie kwenye familia zao wala za wapendwa wao. Clear.
 
Nimeishiwa hoja ipi? Watu hawataki single mothers, na watu hao ni pamoja na single mothers wenyewe hawataki uchuro huo ujirudie kwenye familia zao wala za wapendwa wao. Clear.
Uliposema kuwa mimi ni single mother ulikuwa na uhakika upi?? Wanaume wengi wa JF ndivyo mlivyo mkiishiwa hoja huwa mnakuja na personal attack kama defence mechanism maana huwa hamkubali kushindwa mbele ya wanawake hata kama mnajua kabisa kuwa mnachotetea siyo sahihi!!
 
Kwa hilo la kukutaja kama single mother naomba radhi, nimekosea.
Lakini hoja dhidi ya single mothers iko palepale, kwamba hata single mothers wenyewe hawakubali kuletewa mkwe ambaye ni single mother.
 
mkuu Nyenyere naomba kuuliza maswali machache kwenye sentesi nilizobold na kupigia mstari tukianza na hapa

Mwanamke anatakiwa aolewe katika ubikira wake ili mwanamume kujisikia kwamba kweli amepata mtu mwaminifu

unamaanisha ni wanawake peke yao wanaopaswa kuwa katika hali ya bikira wao ili wanaume wahisi wamepata mke mwaminifu?unamaanisha wanaume peke yao ndio wenye haki ya kupata hisia hiyo ya usalama?wanawake hawastahili au hawana haki ya kuhisi kuwa wamepeta mtu mwaminifu?unaliongeleaje swala la mwanaume kujitunza mpaka ndoa yake?

pili Single mama wengi ni matokeo ya uzinzi ama uasherati

single fathers ni matokeo ya nini? accident,kubakwa,kulazimishwa kubambikiziwa au unatafsiri vipi uasherati au uzinzi mkuu?

tatu Single mama hawezi kukupenda kwa jinsi ulivyo

unaweza kuniambia majestically ni single baba wangapi ambao wako radhi kuoa mwanamke bila kujali ikiwa mwanamke atampenda mtoto wake au la? unamaanisha ni kina mama peke yao ndio hujali sana watoto wao hivi kwamba wanataka sana mume apende mtoto aliye naye tayari?unamaanisha wanaume huwa hawajali vile mwanamke atamtreat mwanaye aliyemzaa kabla ya ndoa?

nne Mtoto si wako

ni kweli sio wako,lakini namna gani single babas wao watoto zao wa kabla ya ndoa wanakuwa wa wake zao wapya?wake zao wanapolea hao watoto wanakuwa wanalea watoto zao au watoto za mwanamke mwenzao aliyezini na mumewe kabla hajaolewa naye?

tano Mume wa kwanza ana nafasi ya kuendelea kumtafuna single mama atakavyo

mkuu unataka kumaanisha na kutuaminisha kuwa single babas hawawatafuni baby mamys zao vile watakavyo wakishaoa ? unamaanisha hii tabia wanayo single mothers tu au point yako ni nini hapa?

nina maswali mengi sana mkuu kutokana na hoja zako tajwa katika mada hii,lakini kwa kuanzia em tuanze na hayo machache then tuendelee.

Asante.
 
Kwa hilo la kukutaja kama single mother naomba radhi, nimekosea.
Lakini hoja dhidi ya single mothers iko palepale, kwamba hata single mothers wenyewe hawakubali kuletewa mkwe ambaye ni single mother.
Siyo wote
 

Kwanza mada ni kuhusu single mama. Pili anayeoa ni mwanamume, hilo halina haki sawa. Tatu chastity ni kwa wpte lakini mwisho wa siku wakianza uzinzi mapema, anayekuja kujutia KIMWILI ni mwanamke.Nne si vema kila kinachosemwa kiwekwe kwa kulinganisha, wewe pia waweza anzisha mada kuhusu wanaume, mimi sihubiri haki sawa hapa walasio muumini wake. Mimi ni muumini wa uasili wa mwanadamu
pili Single mama wengi ni matokeo ya uzinzi ama uasherati

single fathers ni matokeo ya nini? accident,kubakwa,kulazimishwa kubambikiziwa au unatafsiri vipi uasherati au uzinzi mkuu?
Single father ni illusion tu, haina uhalisia. Ni yale mambo ya kutafuta haki sawa.Mwanamume hazalishwi, anazalisha tu. Mengine ni wishful thinking

Do your homework.


Mwenye ndoa ni mwanamume, wewe unatolewa posa unakwenda kujenga ukoo wa mwanamume. Mwanamke ni msaidizi wa mumewe, hivyo hakuna usawa unaoutaka kwenye ndoa mpaka maumbile. HAKUNA SINGLE BABA. Ngoja nikupe somo:

Mwanamume anatongoza mwanamke analala naye, akizaa mtoto nje ya mipango ya ndoa atahitaji kujiridhisha kuwa ni damu yake, hapo atamchukua kwenye nyumba yake kwa sababu huyu mwanamke aliyemzaa ametimiza jukumu la kumjengea ukoo. Kama hajaridhika kuw mtoto ni damu yake ama hkuwa tayari kujenga ukoo, ndipo sasa mtoto hubaki kwa mama yake na hapo tunampata single mama. Umewahi kujiuliza ni kwa nini mjane haitwi single mother? Sababu ni kuwa watoto wake wana ukoo wao!! Kwa hiyo hata mume akifariki, mama ya watoto hawezi kamwe kuwa single mother, watoto wana baba wala hawaitwi kwa majina ya wajomba zao,mama amezaa ndani ya mkataba wa ndoa. Single mama anazaa nje ya mkataba wa ndo mtoto anakataliwa na mwanamume. Hana ukoo tena, badala yake ana-retain ukoo wa mama,

tano Mume wa kwanza ana nafasi ya kuendelea kumtafuna single mama atakavyo
mkuu unataka kumaanisha na kutuaminisha kuwa single babas hawawatafuni baby mamys zao vile watakavyo wakishaoa ? unamaanisha hii tabia wanayo single mothers tu au point yako ni nini hapa?

Haki sawa inakipotosha.Mume aweza kuoa hata wanawake ishirini kwa wakati mmoja lakini mwanamke ataolewa na mwanamume mmoja tu at a time. Pili anayeoa ni mwanamume sio mwanamke, hivyo si vema kuweka kada wa chama cha upinzani ndani.
nina maswali mengi sana mkuu kutokana na hoja zako tajwa katika mada hii,lakini kwa kuanzia em tuanze na hayo machache then tuendelee.

Asante.

Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…