Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Sawa lakini haibadilishi ukweli kwamba Mungu ni wa wote wanaume na wanawake

La sivyo tusingeona single mothers wanaolewa kila iitwapo leo kama ambavyo tunaona single fathers wanaoa kila iitwapo leo ifike mahali tuite chepeo chepeo tu na siyo kijiko kikubwa
 
Je, 7,800 zinatosha?
 
Watakuwa wako kipindi ambacho hawajapata ufahamu, lakini baada ya hapo si wako tena. Watoto wako ni wale waliotoka viunoni mwako tu, mengine ni kujifariji na kujipoteza. Time will tell.

Kama naweza mlea Mtoto akiwa hana akili na akiwa nayo anaenda pia ni sawa, maana hata mie ningeweza kuwa huyo mtoto!

Humu duniani twaishi mda mfupi Sioni sababu ya kupiganq vita
 

Achakusema vitu ambavyo havipo,ujinga wao ndio unao wafanya kushindwa kuelewa uhalisia wa mambo Mungu hampangii binadamu ndoa ndio maana kampa utashi wa kufanya maamuzi. Jambo linalo ongelewa hapa nikama elimu tuu ya kumsaidia mwanaume na mwanamke asije akafeli kwenye utashi aliopewa kwa yale yanayo mkabili.. najua wanawake wanafikiri wanasimangwa ila kiukweli mnafeli pakubwa hata second chances mnazopata bado mnaziaribu its sad vry sad.
 
Daima nitabaki na msimamo wangu Thabiti, hasa baada ya kuwa na mahusiano kadhaa na hao watu.
 
Alipatwa na nini ?
The TRUE STORY na iwe ni USHUHUDA:

Kijana wa Mwl. Mwakasege alikuwa na uhusiano na mwanamke mzuri tu wa DSM ambaye aliwahi kugombea Ummiss wa wilaya maarufu Dsm na kushika nafasi nzuri.

Huyu binti alikuwa na Mtoto mmoja aliyezaa na Mwanaume mwingine.

Siku kijana anaenda kumwambia Mzee wake habari ya kumuoa huyu binti alimwambia Mzee ukweli kuwa binti ana mtoto ila hajamwona mwingine wa kumuoa isipokuwa huyo.

Mzee alichomwambia tu kuwa Kamwe hatuwezi kukuchagulia mke ili usije kutulaumu lakini akamuuliza

''Je unamfahamu vizuri huyu binti? Je aliyemzalisha mtoto? ''

Jamaa akasema hana shida, na kumbe jamaa alikuwa anampenda sana huyo mtoto na kumfanya kama wakwake wakwanza.

Yule Binti alikuwa hadi anaenda Moshono-Arusha nyumbani kwa Mwakasege na kushinda na mama mkwe.

Baada ya kuishi na Kijana, aisee haijapita hata miaka miwili akamtumia ujumbe kijana kuwa ''Anaomba amsamehe sana kwakuwa ameamua kurudiana na Baba wa mtoto'' it means walikuwa wanawasiliana.
 
Mwanamume hata ukilala kama gogo atakojoa tu, na furaha yote ipo hapo, get the facts straight
 
Habari za Jumapili Wadau.

Joshua Christopher Mwakasege ni Mtoto wa Mwalimu wa Neno la Mungu, C. Mwakasege.

Ninawafahamu wote wawili na familia yao kwa ujumla vizuri tangu nikiwa mtoto mdogo.

Sijaagizwa kuyasema nitakayoyasema ILA nitakwenda kuandika yafuatayo kwakuwa pia Mwl. Mwakasege ni Mtu MUWAZI sana katika kitu / mambo yanayofundisha wengine. Amekuwa akitoa mifano mingi hata kuhusu alivyoanza uhusiano na mkewe wa sasa Diana.

Kijana wake alifariki ghafla October mwaka Jana, sasa ana mwaka kaburini.

SABABU YA KIFO CHAKE: Mengi yanasemwa, na mengine hayafahamiki na hata Mwl. Mwakasege alisema tu kuwa Mwanae amefariki ghafla. Ila kwakuwa kuna cha kujifunza nitaeleza kifupi sababu ya kifo chake.

Msomi Joshua Mwakasege alikuwa na Uhusiano na mwanamke mzuri, aliyekuwa na Mtoto. Mwanamke huyu (sitamtaja jina) aliwahi kuwa miss wa wilaya mojawapo hapa DSM. Walipendana sana na Joshua mpaka ikafikia mahali pa Joshua kumtambulisha rasmi kwa wazazi wake.

Mwl. Mwakasege hakuwahi kumkatalia Mwanae kumuoa binti mwenye mtoto hata siku moja, ila alimuuliza swali

''Unamfahamu vizuri binti unayetaka kumuoa'' ?

'' Unamfahamu aliyezaa nae'' ?

Mara zote majibu yalikuwa ndio na hakukuonekana na tatizo lolote.

Mwishoni Mzee mwakasege alimwambia kijana wake kuwa unapaswa kumwomba Mungu sana kuhusu mke wa kumuoa na tutaomba pamoja LAKINI, mwisho wa yote wewe ndiye unayemfahamu zaidi binti utakayemuoa, na hatuwezi kukuchagulia Mke.

Joshua Mwakasege alimpenda sana yule Mwanamke na walikuwa na malengo, alimpenda yule mtoto kama wakwake na kuamua kumsomesha, kumlisha na kumvisha na alikuwa anamwita ni Mwanae wa kwanza, wengine watafuata.

Pamoja na yote hayo, na baada ya kupita muda flani wa mahusiano, bila kutegemea yule mwanamke alisafiri kutoka DSM na kuja Arusha, kisha siku moja Joshua akiwa kazini alipata ujumbe kutoka kwa Mke wake (Ninasema hivyo kwakuwa walikwishaoana) ujumbe ulimwomba msamaha sana na mkewe akimwambia kuwa ameamua kurudiana na Baba wa mtoto wake.

Hii inamaana walikuwa katika mawasiliano na mahusiano bado.

Kilichomuua Joshua Mwakasege bila shaka ni Msongo wa mawazo ulipitiliza, Depression ingawa iliitwa shinikizo la damu.

USHAURI : Vijana wote wa kiume na wa kike, tuwe makini sana na watu tunaoanzisha nao mahusiano ya kuelekea kwenye Ndoa. Ni vizuri sana kuchunguza ikiwa wana uhusiano wa awali na wapenzi wao haswa waliochangia damu kuzaa mtoto/watoto.

Hata Mabinti pia mnapaswa kuwa makini sana katika hili.

Jumapili Njema.
 
Inawezekana bwana mdogo ilikuwa ndio penzi lake la kwanza hivyo moyo wake ulikuwa haujatoboka toboka...

In short katika mapenzi yatupasa kutumia akili na sio moyo, moyo ubakie tu kuwa chemchem ya maji ya uzima...
 
Unaanzaje kumuoa singo maza??? Mabaharia mnakwama wapi? Njooni niwape connection ya mabinti bikra wanaosubiria upepo wa kisulisuli ili waolewe.

Usithubutu! Usithubutu! Usithubutu! Kuoa singo maza, ni laana hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…