Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Usitetee ujinga wako. Kwanini wengine wajitunze nyie ndo mzae. Akizaa ni yeye asipoolewa ni yeye
Siteteti ujinga ila nilianza ku discipline watoto na ndugu zangu watoto wengine nabaki kuwaombea tu. Wale waliokuwa vinara wa kuwananga watoto wa wenzao wamezalia nyumbani sasa hivi watoto wao wamefuata hayo hayo au wameoa single mother au wamerushiwa wajukuu nyumbani. Huku duniani jua kuna Mungu tu epuka sana kunanga watoto wa watu unless wewe ni mgumba
 
Single mother ni shida sana kwa aliefikia hiyo status kwa njia yoyote ile. Come rain come sun lazima a cheat. This is the reason baada ya kuwa single mother anakuwa ameptia kwenye mikono tofauti akitafuta faraja and in the course of action atakuwa amekutna na watu wema pia ambao hawezi kuwashau hivyo atakuwa tayari kuwalipa fadhila unless hao watu wawe wastarabu kuona kama she is seriously committed to another person. Kwa kupanga nae maisha ni wazuri kwani wanayafahamu shida tu kwa upande wao kuwa honest ni ngumu kidogo kulingana na kilichompeleke kuwa na status ya single mother. Mimi sikushauri kuoa single mother kwani utakwaza wazazi wakona pia utajipatia ugonjwa wa moyo bure.
 
Waambie....mi single m na nineolewa na jamaa anahela chafu na hata leo nikimwambia tuachene anapiga magoti anaomba msamaha kwa kosa langu....hao wanapiga kelele tu jf hapa
Mwanaume ana hela chafu then umwendeshe, mkuu hivyo vitu haviendani, anaeendeshwa ni maskini pekee
 
Sababu zinazoweza pelekea dada kuwa single mother
1. She was not submissive
2. Mimba isiotarajiwa
3. Usaliti(kutenda/kutendwa)
4. Kifo au magonjwa ya akili
5. Umasikini
6. Kushindwa kuwajibika
7. Dini au dhehebu
8. Familia
9. Aina/mwenendo wa maisha
10. Ujeuri
11. Migogoro au migongano
12. Ujinga
All in all anaweza kuwa mwema sana au mbaya sana hawana katikati hawa na mara nyingi wanakua sio wife material
 
mie nnae wangu wala hatuna shida.....single's F/M,,,,,maisha yanasonga......watu wanaoa wanawake weshatoa toa mimba kibao......hao mnawaitaje killer's MOTHER?....mpende anae kupenda.........fursa haiji kimakosa......ipokee ifanyie kazi.....ukisema ni kwa matumizi ya muda....hata wewe unatumika kwa muda.....
 
Yani wale mlio zaa mnavita na hawa wasio zaa kisa wao wametoa mimba [emoji3][emoji3][emoji3] kazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…