Hepi Niu Yia tu yu tuu Cresida...
Halafu una kesi kubwa sana na mimi [emoji16][emoji16][emoji16]
"Ndo ndoano" hazikufika popote.
Kwani kuwa single mother jinai!?au unakuwa kama mtu mwenye ukoma!?jamani tusijifanye kama vile hakuna ma single mother katika familia zetu.
Wewe umetafisiri si mimi..Kwani kuwa single mother jinai!?au unakuwa kama mtu mwenye ukoma!?jamani tusijifanye kama vile hakuna ma single mother katika familia zetu.
nakuja PM unisababishie number zao"Ndo ndoano" hazikufika popote.
😂😂 daaaah
me sio single mother
Wasamehe bure, walikuwa kwenye ndoa wanajua changamoto walizo kutana nazo,Mbona na wewe umeyaleta ya single mother's sasa? Hicho ni kihere here au unajifunza kuanzisha Uzi ?
Wacha kiherehere maana tuna kama miezi zaidi ya mi2 hizo mada hazipo....na aliyekwambia tunajuta ni nani? Kwani tulishakuja humu kuwaomba child support?!/
Acha hizo kijana..
Mimi mzima.kuoa singo maza ni mtihani sana na unatakiwa uwe na moyo wa nyama kama sio wa chuma.
Aache kulia lia,ajikaze tu kwani maisha ndivyo yalivyo!!
Mkuu Demi kwem? Mambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Single mothers kwa upande mwingine wako poa sana, kuna single mother hapa najilia mizigo faida zake ni kama ifuatavyo:sio kila single mother ni aliachika jaman kuna wengine walifiwa na waume zao kwahiyo hawafai kuanzisha tena ktik matumizi ya ndoa? wapumzisheni basi hawa wamama na siku moja moja muwe mnawasifia pia sidhan km hawana mazuri pia
Kuna single mothers wao ndo wameacha baada ya kuona baba ni sifuri na wanajielewa na kuendelea kufatwa fatwa na wanaume daily wakiombwa mahusiano serious.sio kila single mother ni aliachika jaman kuna wengine walifiwa na waume zao kwahiyo hawafai kuanzisha tena ktik matumizi ya ndoa? wapumzisheni basi hawa wamama na siku moja moja muwe mnawasifia pia sidhan km hawana mazuri pia
apo nmekuelewa mkuu kwa hiyo single mother silaha yako kuu ni kupambana tu..safi sanaKuna single mothers wao ndo wameacha baada ya kuona baba ni sifuri na wanajielewa na kuendelea kufatwa fatwa na wanaume daily wakiombwa mahusiano serious.
Ukiwa single mother hakikisha unajua kutengeneza pesa, endesha gari, vaa vizuri, jenga. Usisubir mwanaume ndo akufanyie.
Successfull single mothers wana maisha ya raha sana na wengi huwa wanaolewa na successful men. Shida ni hawa single mama's anayetafuta mume wa kumuhudumia yeye na mtoto ndo hawa wanasemwa semwa.
Kabisa, wapo single mothers ambao hata hawa insperational speakers wanaoinspire watu wasioe single mothers wakipata bahati hata ya kukaa nao tu wakazungumza biashara au mambo ya kawaida kwao ni credit. Achilia mbali kuoa.apo nmekuelewa mkuu kwa hiyo single mother silaha yako kuu ni kupambana tu..safi sana