Chapa mpaka ilale
Senior Member
- May 17, 2018
- 152
- 157
Ni kwel sio vyema kuwahukumu wanawake wote na ilo lipo waz ata ndan ya maisha yangu mm mwenyewe na nimekuwa sychlogically infected siwez kumuamkia mmama yeyote ambae sina data zake cha zaidi ntamsalinia "habar za saiz " ila wapo ninaowaamkia hawa huwa nina data zaoKwanza pole kwa mapito uliyopitia
Pili sio kila mwanamke anatabia kama za mama na dada yako
Usihukumu wanawake wote kwa ajili ya kosa la mama yako
Nasema kosa la mama yako sio dada zako,najua hapo hao dada zako wamepandikizwa mbegu ya chuki toka kwa mama ako
Mfano unaweza kuona kila mama wa kambo ni mbaya lkn sio kweli
Unaweza kukuta mama wa kambo mwingine ni mwema sana kuliko mama mzazi halisi. Na kuna mwanamke mwingine anaubaguzi kwa watoto wake mwenyewe aliowazaa na mwanaume mmoja kwa kubagua nani anamaisha mazuri kwa wkt,nani anakazi nzuri au biashara au pesa.
Samehe toa kinyongo ndani yake ili uzipate baraka za Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Eg.kuna ma mdogo wangu mmoja hv mtu mmoja poa sn yaan ata nisipomuamkia najisikia vibaya anamzid ata mama mzazi sasa changamoto unajua inakuja wapi huyu husukumwa sn na watajwa hapo juu kwa kuadithiwa ata stori za kutungwa ili naye awe km wao ONE SIDE na kuna mambo huwa anafanya lkn nikimuangalia najua huyu sio akil zake kajazwa upepo ndio maana nasema in general i hate all women kwa mantink nyingine siwez kumpenda mwanamke ambae sina data zake na nina kesi nyingi za kutokuamkia kutokusalimia au kuwasilimia wamama ' habar za saiz " kwa bahat mbaya ata mm sina mda wa kujal zaid ntawaacha tu waongee