ibwe ijewa
Member
- Dec 11, 2017
- 78
- 47
na wakibeba wanawageuza waliowapa mimba ATM mACHINE...matokeo yake wengine wanakula kona.Aaahhhh kumbe wengi wanataka hela mwisho wanaishia kubeba mimba mkuu??? .
Mkuuu Nokia83 ,,yes we do ,,,lkn mbn kila mmoja anajua nn kitakachofuata ??.
Hehehehe umenifanya nicheke kwa sauti mbele za watuSababu tunapiga sn dry
Sasa kwann ule kona ,nawakat unajua nidam yako ??? Au sababu unakua hukumweka maananna wakibeba wanawageuza waliowapa mimba ATM mACHINE...matokeo yake wengine wanakula kona.
Aaahhhhh sawa ,,, kwaiyo huyu hata awe amekuzalia watoto kadhaaa bado unaweza kumwacha ??.Saa nyingine tunakuwa na malengo nao lkn unakuta mapemaa mwanamke anaanza kukupanda kichwani
Mimi mwanamke mwenye kisirani na kujifanya mjuaji huwa sitaki hata kumsikia
Naanza kupata majibu sasa mkuuu.1. Wanawake wengi
2. Wanaume kukimbia kuoa
3. Umalaya pamoja na mmomonyoko wa maadili
4. Wanawake ndoa na sheria zake kwao wameona ni ngumu hawapati uhuru.
5. Malezi mabaya kwa wazazi
6. Ufeminist
7. Kutanguliza maslahi binafsi kwenye mapenzi nje ya penzi.
8. Ushoga.
Hahahaja mkuuu Nokia83 kakuongezea siku.Hehehehe umenifanya nicheke kwa sauti mbele za watu
Ama kweli ,,,,kukiuka sheria za Mungu ,huwez baki salama.Binadamu wamekiuka utatibu wa mungu na hawataki kabisa kuufuata,majanga ni mengi hili ni mojawapo tu.
Vibaya mnoooHahahaja mkuuu Nokia83 kakuongezea siku.
Hahaaaa so wanategesha nn???.Hawana hela ya kununua p2
Ofcoz umesema ,,lkn ukiona ivo ,,kwann usichukue hatua yakua naye uchungu na kumsaidia il mlee mtoto wenu?.Briefly, Nachokiona apo ni kubadilika kwa mifumo ya maisha ikichangiwa na sera za ujeuri za mwanamke kutaka kuwa sawa na mwanaume, wanataka kuwa huru nowdayz ni rahis mdada kusema me shida yangu nizae tu ayo mengn nitadeal nayo.
Id yangu unadhani mimi ninaweza kua na mtoto kweli????poleni sana ma singo maza....lakini hivi singo faza nao vp???Aaahhhhh sawa ,,, kwaiyo huyu hata awe amekuzalia watoto kadhaaa bado unaweza kumwacha ??.
Wanawake mbadilike jaman ,msipande wake kichwani.
Yea unaenda na kanuni ya out of sight out of mindHahahahahaa so Noway out zaidi yakumwacha apamabane namwanae???/