Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

We mwanamke bwana sijui upo kwenye siku zako?? Yaani single mother aolewe halafu mimi roho iniume???iniume kwa lipi labda?? akili yako ndogo sana
 
Kweli! Yajayo yako [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ukisoma uzi wangu nimegusa kila kitu. Sijashawishi mtu asioe....nimesema atakaye na aoe. Point yangu ni mwenye akili sawa sawa. Ukinielewa hapo tu hatutakuwa na haja ya kubishana.
 
Wewe utakuwa mwanamke. Si bure.
Unajua unanifurahisha
Hapo juu unaparamiana Na Mwanamke??.
Si mwanaume mwenzako
Usiwajengee chuki wengine
Wengi humu tumesomeshwa Na masingle maza.Na baadaye wakaolewa
Na imani hata wewe kwenye Ukoo wako wapo.
Sometimes hutokea kwa bahati mbaya usihukumu
 
Nani kajengewe chuki? Dada usilazimishe maoni yangu yawe yako.
 
Masuala ya mahusiano hayana kanuni ukiona mtu ametingwa anaongelea kanuni za mahusiano anatatizo kubwa.
Huwa Naona hata watumishi Wa Mungu wanakazana kuweka maelezo yahusuyo mahusiano.
Mtu anamuoa Yule anaependana nae haijalishi single mother, kilema, hazai, dini, kabila n.k
Mimi nasema nitamuoa yeyote nitakaempenda haijalishi mapungufu yake.
Kama unaoa kutimiza wajibu na kufurahisha wengine na wewe hujali hisia zako Utapata tabu Sana.
Uoa umoendae hata aweje utakua na furaha nae
 
Unaoaje single maza wenzio waliozaa nae wamemuona chenga wewe bado unajipeleka. Kuwa single maza tayari ni umewashiwa taa ya kijani.
 
Mwanaume rijali awezi kuongee maneno haya

Usijaji mtu kwa past yake
. Nikutakie kila la heri unayefikiri ciyo single maza ni mama za marehemu

Haha
 
Ukisoma uzi wangu nimegusa kila kitu. Sijashawishi mtu asioe....nimesema atakaye na aoe. Point yangu ni mwenye akili sawa sawa. Ukinielewa hapo tu hatutakuwa na haja ya kubishana.


Na mwanaume mwenye akili sawa hawezi kuongea au kuandika upupu ulioandika.

Mwanaume mwenye akili sawa bila shaka anakuwa na busara na uvumilivu, ambavyo wewe huonyeshi kuwa navyo. Kwa hiyo wewe huna akili sawa, then utaoa single mother.

Utukaribishe siku ya sherehe.
 
Aiseeeeeeeeeee!! Naona mtoa post kakimbia kwa post yako.
Atakuwa ametendwa huyo.Sasa akaona Hasira aje azimalize hapa.
Umeongea kila kitu.
Salute to you!
 
Jamaa anasahau haraka mno inaonekana ametendwa hapo kaandika uzi akiwa na hisia mno
Yaani Eti MTU mwenye akili timamu asioe Single maza.
Anampangia MTU.
Jamani Stress mbaya sana.
Au MTU anaoa aliyempendaaa??
Au anaoa tu hata kama sio single hajampenda anaoa
Kweli Kavurugwaa
 
Amekimbia Ndo haaa wanaoanzishaga magroup yakimshinda Analeft group.
Haaaa halafu Unaweza kuta kalelewa Na Single maza.Tusimuamini ayasemayo
 
Ukweli ni kwamba urijali wa mwanaume hauna uhusiano nakuoa single mother kila mtu ana mawazo yake juu ya hili na ndoa ni jambo lingine usichukulie powa ndoa sio sherehe wala mamako ana maoni gani? Hili jambo liache lilivyo na kila mtu afanye atakavyo moyoni mwake , tuache kumulika tochi mchana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…