Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Sidhani kama hii inakuwa applicable kwa wote maana kila mtu kazaliwa na kuelelewa ktk mazingira tofauti.1. Mwanaume anaeamua kuoa single mother kashakuwa tayari kukabiliana na changamoto zote kutoka kwa mtoto /watoto wa mkewe yupo tayari kuwalisha, kuwasomesha, kuwavalisha na kuwatibia pindi wanapofikwa na maradhi.....
2. Yupo tayari kukabiliana na machungu ya mawasiliano baina ya mkewe na mzazi mwenzie...huu ni urijali na ukomavu wa kifikra wa hali ya juu kwa mwanaume....
3. Mwanaume alikubali kumuoa single mother anakuwa hana wivu wa kijingajinga kwa mkewe maana anajua mkewe alishapitia kwenye mahusiano mbalimbali mpaka kuja yeye kwa hiyo km akitaka kumsaliti hana njia ya kumzuia....
3. Mwanaume huyu anakuwa haogopi ni jinsi gani baba mtoto wa mkewe alivyokuwa ana participate on bed na mkewe kwamba kujiona yeye atakuwa dhaifu kuliko jamaa aliepita kwa maana hiyo anajiamini
4. Mwanaume wa Karba hii haogopi madongo na mashambulizi yoyote kutoka kwa mzazi mwenzie wa mkewe pindi pale inapotokea mzozano baina ya mkewe na mzazi mwenzie yeye anauwezo wa kuingilia kati na kuyamaliza na mwanaume mwenzie (baba mtoto /watoto) kistaarabu....
5. Mwanaume alikubali kuoa single mother anakuwa sio mbea na kukaa vijiweni maana anaogopa atakandiwa na wenzie so anakuwa busy na maisha yake na wala humkuti akiwasemasema ma single mother kwani yeye mwenyewe anae ndani.....
Naomba niishie hapa
NOTE
Mimi kama mwanaume wa kweli rijali siku moja nilimkuta manzi wangu ambae ni single mother amenuuna vibaya kuja kumuuliza nini tatizo akaniambia amegombana na baba nanihii kisa alimpigia simu na kumlaumu mzazi mwenzie kwanini hampigii simu kumjulia hali mwanae....wakaanza kukorofishana na jamaa kutupia maneno machafu kwahiyo manzi akawa na hasira sana ikabidi mi nimpoze kwa maneno mazuri kwa kweli iliniuma saana ila nitafanyaje na moyo ulishakuwa kwake, ila mpaka sasa tumeshaachana na ninampango wa kuingia kwa single mother mwengine maana najua utamu wao wanakuwa watulivu sana ktk maisha sio km hawa watoa mimba nadhani wanakuaga na laana ya vile vitendo vya abortion wanavyovifanya huwa siwaelewi kabisa na huwa sidumu nao km hawa single mother
NB
Wanaume wenzangu marijali tusiwakejeli hawa Dada zetu single mother ni wazuri sana kwenye maisha achaneni na hawa wachoropoaji hawana uchungu kabisa
Kipimo cha mwanaume rijali ni uwezo wa kukabiliana na changamoto mbali mbali ikiwemo za ndoa.
Sio kuoa single mother? Japokuwa unaweza kuwa ni test ndani ya mtihani wa uwanaume lakini haimaanishi ndio kipimo halisi.