Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

1. Mwanaume anaeamua kuoa single mother kashakuwa tayari kukabiliana na changamoto zote kutoka kwa mtoto /watoto wa mkewe yupo tayari kuwalisha, kuwasomesha, kuwavalisha na kuwatibia pindi wanapofikwa na maradhi.....

2. Yupo tayari kukabiliana na machungu ya mawasiliano baina ya mkewe na mzazi mwenzie...huu ni urijali na ukomavu wa kifikra wa hali ya juu kwa mwanaume....

3. Mwanaume alikubali kumuoa single mother anakuwa hana wivu wa kijingajinga kwa mkewe maana anajua mkewe alishapitia kwenye mahusiano mbalimbali mpaka kuja yeye kwa hiyo km akitaka kumsaliti hana njia ya kumzuia....

3. Mwanaume huyu anakuwa haogopi ni jinsi gani baba mtoto wa mkewe alivyokuwa ana participate on bed na mkewe kwamba kujiona yeye atakuwa dhaifu kuliko jamaa aliepita kwa maana hiyo anajiamini

4. Mwanaume wa Karba hii haogopi madongo na mashambulizi yoyote kutoka kwa mzazi mwenzie wa mkewe pindi pale inapotokea mzozano baina ya mkewe na mzazi mwenzie yeye anauwezo wa kuingilia kati na kuyamaliza na mwanaume mwenzie (baba mtoto /watoto) kistaarabu....

5. Mwanaume alikubali kuoa single mother anakuwa sio mbea na kukaa vijiweni maana anaogopa atakandiwa na wenzie so anakuwa busy na maisha yake na wala humkuti akiwasemasema ma single mother kwani yeye mwenyewe anae ndani.....

Naomba niishie hapa

NOTE
Mimi kama mwanaume wa kweli rijali siku moja nilimkuta manzi wangu ambae ni single mother amenuuna vibaya kuja kumuuliza nini tatizo akaniambia amegombana na baba nanihii kisa alimpigia simu na kumlaumu mzazi mwenzie kwanini hampigii simu kumjulia hali mwanae....wakaanza kukorofishana na jamaa kutupia maneno machafu kwahiyo manzi akawa na hasira sana ikabidi mi nimpoze kwa maneno mazuri kwa kweli iliniuma saana ila nitafanyaje na moyo ulishakuwa kwake, ila mpaka sasa tumeshaachana na ninampango wa kuingia kwa single mother mwengine maana najua utamu wao wanakuwa watulivu sana ktk maisha sio km hawa watoa mimba nadhani wanakuaga na laana ya vile vitendo vya abortion wanavyovifanya huwa siwaelewi kabisa na huwa sidumu nao km hawa single mother

NB
Wanaume wenzangu marijali tusiwakejeli hawa Dada zetu single mother ni wazuri sana kwenye maisha achaneni na hawa wachoropoaji hawana uchungu kabisa
Sidhani kama hii inakuwa applicable kwa wote maana kila mtu kazaliwa na kuelelewa ktk mazingira tofauti.
Kipimo cha mwanaume rijali ni uwezo wa kukabiliana na changamoto mbali mbali ikiwemo za ndoa.
Sio kuoa single mother? Japokuwa unaweza kuwa ni test ndani ya mtihani wa uwanaume lakini haimaanishi ndio kipimo halisi.
 
NMEKUELEWA NKM ILIKUA IVO BASI WEE NI RIJALI WAUKWELI.

Ndomaana jana nikasema "Kijana soma nyakati ,usipotezewe muda"..mtu unamshirikisha mpango wa kumuoa yeye anakuwekea ugumu..... Unamjali sanaaa lkn bado anawasiliana na Ex wake na kumtaja taja mbele yako ovyoovyo ....for sure huyo ni demu mswahili na HAKUA ANAKUFAA.


Nikweli waschana wadogo ni wasumbufu Sanaa nahisi sababu anakua bado anajua nyuma yake anafukuziwa mnooo na usiombr awe nimschana "Mweupe au ana makalio" ... Utaomba pooo.


Fresh Mkuu, endelea kutafuta, ukimpata na akawa mwema OA , akiwa nikm alipita, Usipoteze muda wako bureee ,badala yake utumie tena huo muda kumtafuta anayekufaa mpaka utakapompatia.
Haswaaaa. Sababu haya mambo ndugu yangu si mazur kwakweli. Hii sitaki nataka kutoka kqa wanawake huwa inasababisha waachike.
Mfano : kuna dada mmoja alikuwa mlokole sana yaan halaf yeye ukimwambia huna pesa anaona kama vile unamnyanyasa na kwamba anaweza kutafuta za kwake.

Atauchuna mwezi mzima anakujibu short tuuu. Ukila bunda anajirudi.. anaanza kukutafuta.
Nikaona hata kama umeokoka tabia hazieleweki tupa kule.
 
Haswaaaa. Sababu haya mambo ndugu yangu si mazur kwakweli. Hii sitaki nataka kutoka kqa wanawake huwa inasababisha waachike.
Mfano : kuna dada mmoja alikuwa mlokole sana yaan halaf yeye ukimwambia huna pesa anaona kama vile unamnyanyasa na kwamba anaweza kutafuta za kwake.

Atauchuna mwezi mzima anakujibu short tuuu. Ukila bunda anajirudi.. anaanza kukutafuta.
Nikaona hata kama umeokoka tabia hazieleweki tupa kule.
Sswasawa na kweli..nikosa kubwa sana kua in love na kivuli cha mtu .
 
NMEKUELEWA NKM ILIKUA IVO BASI WEE NI RIJALI WAUKWELI.

Ndomaana jana nikasema "Kijana soma nyakati ,usipotezewe muda"..mtu unamshirikisha mpango wa kumuoa yeye anakuwekea ugumu..... Unamjali sanaaa lkn bado anawasiliana na Ex wake na kumtaja taja mbele yako ovyoovyo ....for sure huyo ni demu mswahili na HAKUA ANAKUFAA.


Nikweli waschana wadogo ni wasumbufu Sanaa nahisi sababu anakua bado anajua nyuma yake anafukuziwa mnooo na usiombr awe nimschana "Mweupe au ana makalio" ... Utaomba pooo.


Fresh Mkuu, endelea kutafuta, ukimpata na akawa mwema OA , akiwa nikm alipita, Usipoteze muda wako bureee ,badala yake utumie tena huo muda kumtafuta anayekufaa mpaka utakapompatia.
Asante mkuu kweli nilipoteza muda kwa yule wa kwanza licha ya urijali wote niliomuonesha nilimkatia mpaka mtoto bima ya afya ili asisumbuane na mzazi mwenzie maana ugomvi wao mkubwa unakuja pale dogo anapoumwa ila bado haikusaidia nikaona nikae pembeni
Hawa visistaduu wanajifanya watoto wa mjini ni wasumbufu sana km wewe ni mwanaume rijali huwezi kuvumilia ujinga wao wanajiona sana km unavyosema mkuu anaona kwamba ukimuacha wewe kuna wengine watakuja
 
Asante mkuu kweli nilipoteza muda kwa yule wa kwanza licha ya urijali wote niliomuonesha nilimkatia mpaka mtoto bima ya afya ili asisumbuane na mzazi mwenzie maana ugomvi wao mkubwa unakuja pale dogo anapoumwa ila bado haikusaidia nikaona nikae pembeni
Hawa visistaduu wanajifanya watoto wa mjini ni wasumbufu sana km wewe ni mwanaume rijali huwezi kuvumilia ujinga wao wanajiona sana km unavyosema mkuu anaona kwamba ukimuacha wewe kuna wengine watakuja
Nmeelewa mkuu , kwaufupi wanaume hatupendi USUMBUFU ...hawa wadada wanakua wameshakomaa vzur .
 
Inabidi uwe na roho ngumu kweli!

Ile anakuaga naenda kukutana na baba mtoto tuongee juu ya ada na matumizi ya mtoto aiseee
Hapo lazima uwe na roho ngumu unatakiwa umpe risala kubwa sana

"kwamba jali utu wako asiwe mwepesi kufunuliwa na niheshimu mimi km mumeo ambae nimekusitiri juu ya huu uzaifu wako niliokukuta nao na pia jali familia yako hujui huyo ex wako anakutana na watu wangapi na hujui ana maradhi gani na nuksi gani"
Hapo atakuelewa mkuu
 
Umetumwa na masingo maza uwapigie debe au dada yako ni singo maza..

Kuliko mizigo hio yote si bora nioe mke ambaye hana mtoto ili tupambane kulea mtoto wetu.

Bora ku adopt mtoto yatima kuliko kuoa single mother
 
Haswaaaa. Sababu haya mambo ndugu yangu si mazur kwakweli. Hii sitaki nataka kutoka kqa wanawake huwa inasababisha waachike.
Mfano : kuna dada mmoja alikuwa mlokole sana yaan halaf yeye ukimwambia huna pesa anaona kama vile unamnyanyasa na kwamba anaweza kutafuta za kwake.

Atauchuna mwezi mzima anakujibu short tuuu. Ukila bunda anajirudi.. anaanza kukutafuta.
Nikaona hata kama umeokoka tabia hazieleweki tupa kule.
Yamenikuta sana haya mkuu kwa hawa wasichana ambao hawajatanuka kiakili hata misaada wanayotaka utakuta ni ya anasa Nguo, Mapochi, simu kubwa lakini single mother unakuta anakuomba msaada like chakula, chandarua au hela ya mtaji maana anajua anapoelekea
 
Asante mkuu kweli nilipoteza muda kwa yule wa kwanza licha ya urijali wote niliomuonesha nilimkatia mpaka mtoto bima ya afya ili asisumbuane na mzazi mwenzie maana ugomvi wao mkubwa unakuja pale dogo anapoumwa ila bado haikusaidia nikaona nikae pembeni
Hawa visistaduu wanajifanya watoto wa mjini ni wasumbufu sana km wewe ni mwanaume rijali huwezi kuvumilia ujinga wao wanajiona sana km unavyosema mkuu anaona kwamba ukimuacha wewe kuna wengine watakuja
UNGEKUWA WAMIE WEYE NAONA UNGENYOOSHA MIGUU JUU.NI wanaume wachache wanaotuthamin single mother wengi hutoa maneno ya ajabu huona heri alotoa mimba kuliko single mother.. isitoshe ukipata mme wa hivi unawafanya watoto wanamjua ndo daddy wao basi.. yule real poteza mawasiliano kwa sababu atataka akuharibie mahusiano na mwenzako. Wakat ulipokuwa single mother bila partner hakukujali...
 
Umetumwa na masingo maza uwapigie debe au dada yako ni singo maza..

Kuliko mizigo hio yote si bora nioe mke ambaye hana mtoto ili tupambane kulea mtoto wetu.

Bora ku adopt mtoto yatima kuliko kuoa single mother
Sasa kuna utofauti gani Ku adopt na kulea mtoto wa mkeo na ni bora zaidi mana mapenzi yanaongezeka na mama wa mtoto anakuwa na mapenz makubwa na wewe
 
Single mother anayejitambua hawezi kukubali kuolewa na kijana ambaye hakuwahi kuoa. Naandika hili nikiwa na sababu tosha;
Kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi wangu ambaye mimi sikujua kama alishazalishwa. Alinipenda sana na hata nyumbani walimpenda sana. Lakini kila nilipogusia suala la kumuoa - alikataa kabisa - sikujua sababu.
SIku ya siku tukiwa beach tunapunga upepo aliamua kunipa ukweli ..
Alisema sio kwamba hataki kuolewa na mimi bali anahofia ndugu sangu (hasa wadada) wakijua kuwa ana mtoto hawatampenda.
 
UNGEKUWA WAMIE WEYE NAONA UNGENYOOSHA MIGUU JUU.NI wanaume wachache wanaotuthamin single mother wengi hutoa maneno ya ajabu huona heri alotoa mimba kuliko single mother.. isitoshe ukipata mme wa hivi unawafanya watoto wanamjua ndo daddy wao basi.. yule real poteza mawasiliano kwa sababu atataka akuharibie mahusiano na mwenzako. Wakat ulipokuwa single mother bila partner hakukujali...
Hao wanaowakandia ma single mother kutwa kucha wanateseka kwa visichana vidangaji
 
Sasa kuna utofauti gani Ku adopt na kulea mtoto wa mkeo na ni bora zaidi mana mapenzi yanaongezeka na mama wa mtoto anakuwa na mapenz makubwa na wewe
Kama baba yake amefariki ninaweza kuconsider kidogo lakini kama baba yake yuko hai siwezi kulea toto la dume jenzangu ambalo lipo tu linanicheki.

Lakini kwenye swala la kuadopt mtoto hapo unakuwa na uhuru wa kumlea mtoto kwa njia unazozitaka wewe..kama unataka mtoto wako asomee nje ya nchi unampeleka kwa uhuru wote.
Lakini kama mtoto wa single mother na baba yake yupo unaweza kuanza kuletewa masharti jinsi ya kulea mtoto
 
Back
Top Bottom