Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mi nnae mmoja.wana jua mambo.na wanakuja eneo la tukio kwa wakati.sio kama visichana visumbufu.mara mama yupo nyumbani siji.hawa muda wowote wana come.
 
Points zako sio kupuuzia moja kwa moja hasa ile ya kuchukia wanaume na kuwa tyr kuvunja mahusiano mda wowote nyingine ni za kawaida mixer chuki zako binafsi.

Umeandika nusu ukweli, nusu chuki.
 
Ila point namba 3. Ina ka-ukweli ambacho nimekutana nacho jana. Kuna Demu baada ya kumtongoza alinijibu kuwa anachukia sana wanaume wote. Ila nilikuja kugundua kuwa ameachika na amerudi kuishi kwa wazazi wake akiwa na watoto wake wawili.
 
Nimedate na single parents wengi ila nimejifunza mambo haya

1. Sio wachoyo wa kutoa papuchi

2. Hawana mambo mengi kama hawa wengine

3. Wako very straight akisema no ni no na yes ni yes

4. Nimesahau kidogo

5. Wanataka utoe matumizi ya mwanae eti ukipenda boga penda na ua lake

6. Ukiwa na pesa utawala sana

Ni hayo tu kwa leo
 
Wengine walishika mimba wakazifyatua kutokana na kutokubaliwa na wapenzi wao. Hivyo maumivu ya kumwaga yapo pale pale.

Hapo vipi, tufuatilie records zao mahospitalini Kwanza?
 
Kwanza nianze kwa kusema siko biased kwa binadam yeyote na wote wapasa kupewa fursa sawa ila kwa suala hili aise never date or marry single mothers. NO EXCEPTIONS. Sijawah kudate na wala sitakuja.

1. Kwanza tu tayar ni used out, you deserve better.
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
4. Kubali uskubali hawez kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanan vipi kuhus wewe.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mtoa mada upo sahihi ...single mother siyo waku wachekea wanafaa kwa matumizi ya mda mfupi ila so kwa kuweka kambi...narudia tena single mother siyo kabisa mwisho wake ni maumivu...
 
Wanasemaga huku bora alietoa mimba 100 lakini sio mwenye mtoto tayari
Haaaaa kijana acha kujidanganya single mother ni bora kuliko mtoa mimba!!! Wapo wadada kazi umalaya na kutoa mimba sasa unaonaje hapo?
 
Nitakujibu point zako kama ifuatavyo;

1. Kwanza tu tayar ni used out, you deserve better.
Mwanamke aliyezaa haina maana katembea na wanaume wengi zaidi ya yule ambaye hajazaa. Kwa hiyo huyo unaemtaka wewe ambae hajazaa anaweza kuwa used zaidi ya huyo aliyezaa. Na huyo ambae haja zaa, unajua historia yake? Vipi kama alikuwa anatoa mimba kila akipata? Labda basi tafuta bikira
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
Jibu na (1) hapo juu linahusika
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
Kuna wanawake single mothers wamewa-dump wanaume waliozaa nao. Kwa hiyo si mara zote kwamba single mothers walikuwa dumped
4. Kubali uskubali hawez kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
Kimsingi, hakuna tofauti kati ya wanawake wawili waliotembea na wanaume kabla yako na mmoja akazaa na mwingine hakuzaa. Kumbuka mimba mara nyingine ni ajali tu, na usiwe na mentality kwamba wanaopata mimba ndio wamekubuhu kwa ngono. In fact, mara nyingi wanaopata mimba za ajali wakazaa ni wale ambao hawajakubuhu kwa ngono. Unaweza ukafuata asiye na mimba kumbe alishazitoa zaidi ya mara tano. Pia, hata huyo ambae hakuzaa lakini alitembea na mwanaume fulani kabla yako anaweza kugawa tena kwa mwanaume alietembea nae huko nyuma. Hivyo ukitaka kuwa safe kwa karata hii tafuta bikira.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanan vipi kuhus wewe
Point namba nne hapo juu inahusika. Kuzaa na mwanaume mwingine sio lazima kwamba alimpenda huyo kuliko wewe. Anaweza akawa hakuzaa lakini akawa bado anampenda mwanaume wake wa nyuma kuliko wewe

Kwa hiyo mwisho wa mambo yote Mkuu - If you want my future, forget my past
Ndio mkuu ushauri wako nishazingatia, mke wangu nilitoa bikra mwenyeweee
 
Nafikiri mleta uzi ana hoja ya msingi. Pia anajaribu kuwaamusha wanawake kutozaa na wanaume ambao sio waume zao.
Na hana tofauti na kauli ile ya kutosomesha wanafunzi wenye watoto
Nashukuru kwa kuliona hilo mkuu
 
Duuh! Wapumzishe jamani hawa watu maana mtoa mada unawachukulia vibaya sana na unawahukumu kwa makosa ambayo sio yao kabisa, laiti ungejua sababu iliyopelekea kuwa hivyo naamini usingesema hayo
Hata tukiwapumzisha vipi hawafai kua mke, spoilt to the core.
 
mimi nimempenda single mother ana miaka 21 mtoto mzuri wa kimburu nataka kumuoa pia aliachana na mpenzi wake wa zamani sababu alimsaliti na alikua mkorofi sanaa, bado nafanya research zaidi kwake ila nimetokea kumpenda hasa
Jiandae kwa misongo ya mamazo
 
Back
Top Bottom