mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mi nnae mmoja.wana jua mambo.na wanakuja eneo la tukio kwa wakati.sio kama visichana visumbufu.mara mama yupo nyumbani siji.hawa muda wowote wana come.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washangae na weweKwanza hawa watu wanajua kila kitu ni kukariri, hawajui maisha hayana formular.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwanza nianze kwa kusema siko biased kwa binadam yeyote na wote wapasa kupewa fursa sawa ila kwa suala hili aise never date or marry single mothers. NO EXCEPTIONS. Sijawah kudate na wala sitakuja.
1. Kwanza tu tayar ni used out, you deserve better.
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
4. Kubali uskubali hawez kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanan vipi kuhus wewe.
Haaaha haaMkuu umemaliza
Kunywa soda kwa Mange
Inaonyesha mtoa mada kakataliwa na single mother
Aangalie asije pata presha akaanguka na kabla hajafikishwa hospitalini anakufa
Haaaaa kijana acha kujidanganya single mother ni bora kuliko mtoa mimba!!! Wapo wadada kazi umalaya na kutoa mimba sasa unaonaje hapo?
Ndio mkuu ushauri wako nishazingatia, mke wangu nilitoa bikra mwenyeweeeNitakujibu point zako kama ifuatavyo;
1. Kwanza tu tayar ni used out, you deserve better.
Mwanamke aliyezaa haina maana katembea na wanaume wengi zaidi ya yule ambaye hajazaa. Kwa hiyo huyo unaemtaka wewe ambae hajazaa anaweza kuwa used zaidi ya huyo aliyezaa. Na huyo ambae haja zaa, unajua historia yake? Vipi kama alikuwa anatoa mimba kila akipata? Labda basi tafuta bikira
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
Jibu na (1) hapo juu linahusika
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
Kuna wanawake single mothers wamewa-dump wanaume waliozaa nao. Kwa hiyo si mara zote kwamba single mothers walikuwa dumped
4. Kubali uskubali hawez kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
Kimsingi, hakuna tofauti kati ya wanawake wawili waliotembea na wanaume kabla yako na mmoja akazaa na mwingine hakuzaa. Kumbuka mimba mara nyingine ni ajali tu, na usiwe na mentality kwamba wanaopata mimba ndio wamekubuhu kwa ngono. In fact, mara nyingi wanaopata mimba za ajali wakazaa ni wale ambao hawajakubuhu kwa ngono. Unaweza ukafuata asiye na mimba kumbe alishazitoa zaidi ya mara tano. Pia, hata huyo ambae hakuzaa lakini alitembea na mwanaume fulani kabla yako anaweza kugawa tena kwa mwanaume alietembea nae huko nyuma. Hivyo ukitaka kuwa safe kwa karata hii tafuta bikira.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanan vipi kuhus wewe
Point namba nne hapo juu inahusika. Kuzaa na mwanaume mwingine sio lazima kwamba alimpenda huyo kuliko wewe. Anaweza akawa hakuzaa lakini akawa bado anampenda mwanaume wake wa nyuma kuliko wewe
Kwa hiyo mwisho wa mambo yote Mkuu - If you want my future, forget my past
Nashukuru kwa kuliona hilo mkuuNafikiri mleta uzi ana hoja ya msingi. Pia anajaribu kuwaamusha wanawake kutozaa na wanaume ambao sio waume zao.
Na hana tofauti na kauli ile ya kutosomesha wanafunzi wenye watoto
Hata tukiwapumzisha vipi hawafai kua mke, spoilt to the core.Duuh! Wapumzishe jamani hawa watu maana mtoa mada unawachukulia vibaya sana na unawahukumu kwa makosa ambayo sio yao kabisa, laiti ungejua sababu iliyopelekea kuwa hivyo naamini usingesema hayo
Jiandae kwa misongo ya mamazomimi nimempenda single mother ana miaka 21 mtoto mzuri wa kimburu nataka kumuoa pia aliachana na mpenzi wake wa zamani sababu alimsaliti na alikua mkorofi sanaa, bado nafanya research zaidi kwake ila nimetokea kumpenda hasa