Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hata tukiwapumzisha vipi hawafai kua mke, spoilt to the core.
Mama yangu alipewa ujauzito wa first born wetu akiwa na 20yrs na njemba ikakataa, basi kajikongoja kalea mimba na mtoto. After 1 yr mama alikutana na my dad wakaanza mahusiano na kuoana. Kiukweli siku zote baba alikua anasema anamuomba Mungu kufa atangulie yeye maana hatapata mke kama mama,,,,,,sasa kwa uzoefu huu kwa nini nisiwaheshimu hao unaowaita masingo?
 
Mkuu mfano wako ni ishara tosha kwamba tatizo siyo single mother tatizo ni mwanamke mwenyewe
Mama yangu alipewa ujauzito wa first born wetu akiwa na 20yrs na njemba ikakataa, basi kajikongoja kalea mimba na mtoto. After 1 yr mama alikutana na my dad wakaanza mahusiano na kuoana. Kiukweli siku zote baba alikua anasema anamuomba Mungu kufa atangulie yeye maana hatapata mke kama mama,,,,,,sasa kwa uzoefu huu kwa nini nisiwaheshimu hao unaowaita masingo?
 
Wanasemaga huku bora alietoa mimba 100 lakini sio mwenye mtoto tayari
Tatizo ni kwamba, wanaume wengi mnawaangalia single mothers kama vile hizo mimba walipewa na wanawake wenzao sio nyie wanaume. Unaweza kukuta mtoa mada alishatandika wasichana mimba akawatelekeza na leo hii anaongea negative kuhusu single mothers.

Wengi wa single mothers walizaa na wanaume ambao walijua wana uhusiano nao wa kuja kuoana, wakaachwa solemba. So mwisho wa siku kama kuna ubaya wa kuwa single mother basi ubaya ni wa wanaume.
 
Kwanza nianze kwa kusema siko biased kwa binadamu yeyote na wote wapasa kupewa fursa sawa ila kwa suala hili aise never date or marry single mothers. NO EXCEPTIONS. Sijawahi kudate na wala sitakuja.

1. Kwanza tu tayari ni used out, you deserve better.
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
4. Kubali usikubali hawezi kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanani vipi kuhusu wewe.
Subiri maoovu
 
Umeandika kwa chuki sana,siku yakimkuta dada yako na wewe ndio uwe msaada kwake,nadhani utaelewa maana ya ujinga uliouandika hapa,kwahiyo akiwa hana mtoto/watoto ndio hawezi kutafunwa ukimuoa?kutafunwa ni tabia ya mtu,au uzembe wa mumewe kutokumridhisha mkewe,either kwa wingi wa majukumu yake katika utafutaji,au na msongo wa mawazo kutokana na ugumu wa maisha,au ugonjwa n.k,na je? unayajua mazingira au sababu ya huyo mwanamke kuwa single mama?
mkuu umekurupuka,nina mashaka na umri wako,lkn pia nina mashaka na akili yako...don`t be rude!
Umewahi kudate single mother au u
unaongea tu?
 
Nitakujibu point zako kama ifuatavyo;

1. Kwanza tu tayar ni used out, you deserve better.
Mwanamke aliyezaa haina maana katembea na wanaume wengi zaidi ya yule ambaye hajazaa. Kwa hiyo huyo unaemtaka wewe ambae hajazaa anaweza kuwa used zaidi ya huyo aliyezaa. Na huyo ambae haja zaa, unajua historia yake? Vipi kama alikuwa anatoa mimba kila akipata? Labda basi tafuta bikira
2. Wamepitia maumivu sana na mamekua sugu, mda wowote yupo tayari kuvunja uhusiano.
Jibu na (1) hapo juu linahusika
3. Wanachuki dhidi ya wanaume waliowazalisha na kuwa dump. Subconciously wanachukia wanaume wote.
Kuna wanawake single mothers wamewa-dump wanaume waliozaa nao. Kwa hiyo si mara zote kwamba single mothers walikuwa dumped
4. Kubali uskubali hawez kua mwaminifu kwako, baba wa mtoto akitaka anakula tena kavu.
Kimsingi, hakuna tofauti kati ya wanawake wawili waliotembea na wanaume kabla yako na mmoja akazaa na mwingine hakuzaa. Kumbuka mimba mara nyingine ni ajali tu, na usiwe na mentality kwamba wanaopata mimba ndio wamekubuhu kwa ngono. In fact, mara nyingi wanaopata mimba za ajali wakazaa ni wale ambao hawajakubuhu kwa ngono. Unaweza ukafuata asiye na mimba kumbe alishazitoa zaidi ya mara tano. Pia, hata huyo ambae hakuzaa lakini alitembea na mwanaume fulani kabla yako anaweza kugawa tena kwa mwanaume alietembea nae huko nyuma. Hivyo ukitaka kuwa safe kwa karata hii tafuta bikira.
5. Atakuumiza tu hebu fikiria karuhusu kuachana na mwanaume tena waliopendanda ujanan vipi kuhus wewe
Point namba nne hapo juu inahusika. Kuzaa na mwanaume mwingine sio lazima kwamba alimpenda huyo kuliko wewe. Anaweza akawa hakuzaa lakini akawa bado anampenda mwanaume wake wa nyuma kuliko wewe

Kwa hiyo mwisho wa mambo yote Mkuu - If you want my future, forget my past
Point ya nne umefeli,Kuna tofauti kubwa sana Kati ya kutembea na kuzaa na mwanamke, mwanamke akishazaa na mwanaume Ni rahisi huyo mwanamke kumrudia huyo aliyemzalisha yaani kwa lugha nyingine Ni kwamba kuoa single mother Ni sawa na kuoa mke wa mtu, ukishazaa na mwanamke mtoto mliyezaa Ni bond kubwa ambayo huwa haivunjiki, mwanamke ukishazaa naye tayari huyo Ni mke wako,nadhani huijui saikolojia ya wanawake
 
Nimedate na single parents wengi ila nimejifunza mambo haya

1. Sio wachoyo wa kutoa papuchi

2. Hawana mambo mengi kama hawa wengine

3. Wako very straight akisema no ni no na yes ni yes

4. Nimesahau kidogo

5. Wanataka utoe matumizi ya mwanae eti ukipenda boga penda na ua lake

6. Ukiwa na pesa utawala sana

Ni hayo tu kwa leo
Number 1 & 5 ,ngoja waje kumwaga povu hapa
 
Umeoa single mother mmelala lijamaa linapiga simu "Niko hapa Kilimanjaro hotel kesho naomba umlete mtoto nimuone"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Single mothers mtanisamehe sana
 
Habari zenu.

Nasema hivi. Mwanaume yeyote rijali hawezi kuoa mwanamke single mother. Ninaposema single mother namaanisha wewe mwanamke uliyezaa kabla ya kuolewa.

Na ninaposema rijali namaanisha mwanaume mwenye akili sawa sawa au bara bara anayefikiri kwa usahihi asiyeendeshwa na mihemko bali hutumia akili yake kutafakari mambo. Hii ina maana mwanaume chizi au mwenye ugonjwa wa akili sio rijali. Ili uwe rijali ni lazima uwe na akili timilifu. Ushahidi ni kwamba mwanaume hanithi anapungukiwa pia akili. (Sitaki kulizungumzia hili) na ukishapungukiwa akili wewe sio rijali.


Ukweli ni kwamba mama zetu ( sisi wanaume) wanafurahi zaidi kama utampa taarifa kuwa unamuowa bint ambaye hajawahi kuzaa. Achilia mbali bikra ambayo hata hivyo wanatamani uwaambie unamuowa bikra. Ni heri uwaambie unamuowa bint uliyezaa naye wewe mwenyewe mtoto wake wa kwanza kuliko kuwaambia wamama eti....eti...unamuowa Lilian single mother!!! Nyoyo husononeka ingawa hawawezi kusema wazi wazi. Utasikia tu mama akisema "Kama umempenda na mnapendana sawa" Tafakari sana haya maneno kijana unayetaka kumuowa single mother.

Ni uzembe wa hali juu sana kuzaa kabla ya ndoa. Ni mwanamke ndiye unayeamua ushike mimba au usishike. Sisi wanaume huwa tunatandika tu.....sasa kama you don't take care about yourself....who else will? Halafu unamlaumu mwanaume kakutia mimba na hajakuowa.

Asikulaghai kwa maneno matamu yoyote yale eti beba mimba kabla hajakuowa. Usikubali. Na mwisho wa siku uamuzi unao wewe wa kubeba mimba au lah. Sasa mnakwama wapi? Be smart.

"Asiponioa ntalea mwenyewe!" Huo ni uzembe.....tunajua mna vipato vyenu....mna pesa zenu, mnayamudu maisha....mnaweza kulea watoto wenu. Nikuulize, hivi kuna raha gani kulea mtoto peke yako? Mnapojitosheleza kiuchumi na kijamii (kutokuwa single mother), machaguo yanaongezeka. Hamuoni? Basi someni. Baadaye mnasema kuolewa bahati. Kuolewa sio bahati. Kuolewa mna haki wala msiite bahati....we unadhani wanangu mi ntalea na nani? R.I.P Ngwea

Jamaa akuzalishe huko halafu mi nije nikuoe? Acheni masihara nyie. Mi hakuna niliyemzalisha bila ndoa nikampiga chini sina sababu ya kuowa single mother.

Na wewe single mother uliyekaa chini ukaona ulikosea wapi na sasa umekuwa RAIA mwema, good luck. Ukimpata anayeeleweka mwambie akuoe. Kijana haukatazwi kuoa single mother. Ukimpata oa......yajayo ni yako.

Hakuna mwanaume RIJALI anayeweza kuowa single mother, kwa sababu za kimaadili. Period.


Meraki
Kama haujaoa mkuu
Nakuhakikishia mkeo atakuja kuwa single mother
 
Point ya nne umefeli,Kuna tofauti kubwa sana Kati ya kutembea na kuzaa na mwanamke, mwanamke akishazaa na mwanaume Ni rahisi huyo mwanamke kumrudia huyo aliyemzalisha yaani kwa lugha nyingine Ni kwamba kuoa single mother Ni sawa na kuoa mke wa mtu, ukishazaa na mwanamke mtoto mliyezaa Ni bond kubwa ambayo huwa haivunjiki, mwanamke ukishazaa naye tayari huyo Ni mke wako,nadhani huijui saikolojia ya wanawake
Mkuu sikubaliani na wewe. Maana ukisema hivyo ina maana wanawake wote walitalikiana na waume zao wakiwa na watoto wakaolewa tena basi huwa wanatembea tena na waume zao wa zamani simply kwa kuwa kuna bond inayotokana na kwa na watoto na waume zao wa kwanza. Hamna kitu ya namna hiyo, hapo wewe ndio huelewi psychology ya wanawake. Labda unaongea psychology ya kabila fulani, la kwako pia, sio ya wanawake. Sasa hiyo siyo psychology, ni culture.
 
Mkuu sikubaliani na wewe. Maana ukisema hivyo ina maana wanawake wote walitalikiana na waume zao wakiwa na watoto wakaolewa tena basi huwa wanatembea tena na waume zao wa zamani simply kwa kuwa kuna bond inayotokana na kwa na watoto na waume zao wa kwanza. Hamna kitu ya namna hiyo, hapo wewe ndio huelewi psychology ya wanawake. Labda unaongea psychology ya kabila fulani, la kwako pia, sio ya wanawake. Sasa hiyo siyo psychology, ni culture.
Sawa mkuu Basi oa single mother
 
Hee, Mkuu una tatizo. Unajumuisha kama vile kuoa single mother ni kosa la jinai. Hiyo ni discrimination. Huna tofaui na mtu mwenye mentality ya ubaguzi wa rangi.
Unabugi mzee,ubaguzi wa rangi it's a different case haihusiani kabisa na issue ya single mother,ndo maana nikasema tunatofautina mitazamo na namna ya kufikiri,kwangu mimi sipo comfortable kuoa single mother,wewe kama unaweza oa tu
 
Back
Top Bottom