Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Ila kwa mtazamo wangu,
Sipingi kukosea kuoa ni AJALI kama zilivyo ajali nyingine.
Ila Wanawake wote hawapo sawa, na maisha hayana formular. Unaweza ukapata single mother na akawa mke mwema kuliko kupata hata mwanamke alie BIKRA.
Swala la kuoa naamini ni kufanya maombi kwa mungu, na kujitahidi kutafuta alie bora kitabia. Na si kigezo cha kua single mother, bikra, mzuri kwa shepu, mzuri kwa sura, elimu na kadhalika.
Sipingi kukosea kuoa ni AJALI kama zilivyo ajali nyingine.
Ila Wanawake wote hawapo sawa, na maisha hayana formular. Unaweza ukapata single mother na akawa mke mwema kuliko kupata hata mwanamke alie BIKRA.
Swala la kuoa naamini ni kufanya maombi kwa mungu, na kujitahidi kutafuta alie bora kitabia. Na si kigezo cha kua single mother, bikra, mzuri kwa shepu, mzuri kwa sura, elimu na kadhalika.