Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Jaribu kuelewa concept, usitetee uharibifu kwa sababu tu kwenye jamii wapo. Simamia kweli daima, usisombwe na upepo wa mazoea, angalia msingi wa jambo naw utakuwa salama na kizazi chako, Mwenyezi Mungu akubariki

Siku hizi kumetokea tabia uhalalishaji wa mambo kwasababu tu yanafanyika, hata kama ni jambo ovu utaskia mtu anasema mbona ni kawaida, mbona watu wanafanya..

Jambo kufanyika mara nyingi zaidi linafikia hatua ya kuonekana kama ni acceptable, hata kama linakiuka maadili au linawakosti binadamu wanaoyatenda hayo mambo.

Ni sawa na mtu kukemea tabia ya wizi kwa kueleza athari zake kama kuuliwa kwa kuchomwa moto, halafu mtu anakuja kutetea anasema wizi mbona upo na watu hawachomwi moto, wanajenga maghorofa na wanapeleka watoto English Medium.

wao wanaona kama "you can do what you do as long as you can dodge a bullet"..

bila kujali na bila kujiuliza kwanini hio bullet ilengwe kwako?

na kwanini upoteze muda kujifunza jinsi ya kuikwepa wakati YOU COULD HAVE PUT YOURSELF IN A POSITION WHERE YOU ARE NOT THE TARGET.

baadhi ya single mothers kuolewa haimaanishi kwamba kuwa single mother ni jambo jema.

kuwa single mother inaathiri 95% ya wanawake, ila wanapongezwa 5% ya wanawake ambao wameweza kuzalishwa na "kubahatika" kuolewa.

bila kujali kwamba kwa uwiano wa 95:5 mizani haijabalance na kuna gap kubwa sana. Bado wahanga ni wengi.
 
POINTI OVU KOREKSHENI...sio SINGLE MOM ni Single parent
Humu tupo wengi sana tukiacha ushabiki wa mitandaoni,Mimi hapa nawakaribisha wenzangu.Ukweli jamani sisi tuliooa Single mom tunapata raha sana yaani Haiadithiwi na ndoa zetu zinadumu sana mimi huu mwaka wa 9 sasa....Nasikitika hao wanaotukandia sie kila siku unasikia wameua au wameuawa na wake zao(Someni Alama za nyakati)..NAKUPENDA SANA SINGLE MOM WANGU!!
 
Huyo sio single mom tena. Ushambadilisha status mkuu. Zidi kumheshimu na kumpenda.

Wabarikiwe wanawake wanaolea watoto wao wenyewe. Potelea mbali the reason which made them to have such status. But they really need our respect and support.
 
Sumbai shikamoo kaka
"Siku zote mwanamke ni;
1. Mama
2. Dada
3. Mpenzi
4. Mke
Aheshimiwe sana, mwanamke hawezi kujipachika mimba bali tunawapachika sisi wanaume, mrishowe tunawaona mkosi na wakosaji...walaaniwe wite wanaozalisha na kukimbia watoto na mama zao.
Huyo sio single mom tena. Ushambadilisha status mkuu. Zidi kumheshimu na kumpenda.

Wabarikiwe wanawake wanaolea watoto wao wenyewe. Potelea mbali the reason which made them to have such status. But they really need our respect and support.
 
Sina single parent lakini you are totally wrong.
Hata mkeo alishaliwa au ataliwa sana so hakuna tofauti na huyu, huenda bao moja na la kwanza kwake ndilo lilimpa mimba.
Jambo la muhimu oa umtakaye regardless ana watoto wangapi...fuata moyo wako
Kama ni single mom ya mzazi mwenzie kufariki sawa, ila kama ni single mom ya kuachana na mzazi mwenzie basi pole.
 
Tangazo la biashara la single mom .Umelipia tangazo jamii forums? Chama chajiuza kibaya chajitembeza.Customer beware!!!
 
Kumbe tuwaache watoto wa kike wazalishwe hovyo basi, maana limekuwa jambo jema machoni pa wanawake. Pia wanaume wanaoa zaidi wanawake waliozalishwa hovyo na ndoa kudumu. Basi sawa
Sawa
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Screenshot_20191002-190605.jpg
 
Sometimes tuwe tunaenda kwa usawa!! Hembu na sisi single Daddy mbona mnatutenga??? Muwe mnatufagiliaaa
 
Sumbai shikamoo kaka
"Siku zote mwanamke ni;
1. Mama
2. Dada
3. Mpenzi
4. Mke
Aheshimiwe sana, mwanamke hawezi kujipachika mimba bali tunawapachika sisi wanaume, mrishowe tunawaona mkosi na wakosaji...walaaniwe wite wanaozalisha na kukimbia watoto na mama zao.
Sina single parent lakini you are totally wrong.
Hata mkeo alishaliwa au ataliwa sana so hakuna tofauti na huyu, huenda bao moja na la kwanza kwake ndilo lilimpa mimba.
Jambo la muhimu oa umtakaye regardless ana watoto wangapi...fuata moyo wako
Be blessed mkuu KingY
 
Back
Top Bottom