Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

Namtaendelea kupambana mpaka matako yatoke moshi yaani chuma ulete,
Unajifanya ushirika ni kitu kigeni kwako M__fck u.
Wanaume ni wajibu wetu kupata pesa na nyie wanawake tuje kuwa enjoy tukiwa nazo. Ushirika upo kwenye vyama vya ushirika sisi wafanya biashara dada. Wewe hata Elimu tu huna.
 
Wakinga kama wakinga, ni kweli wanazisaka hela ila mbona ni kama ukweli umeuficha, hela wanazisaka kwa waganga zaidi, ni wachache wanaosaka hela kwa akili na uwezo wao ambao Mungu amewapa, labda useme saizi wakinga wameamka kusomesha watoto wao hapo ndo walipoamka, maana mtoto alikuwa akimaliza darasa la saba dukani
 
Acha uhuni wewe,Yule mtoto wake wa mwanza ni mlokole na sio mganga

Alikuwa mfanyabiashara Songea na Mbinga,Duka lake lilikuwa Mbinga

Mimi nimekaa hapo kwa Mwakipande sana tu

Kama ni mzoefu wa huko ,unachukua boda boda tu mpaka kwa Mwakipande toka pale Ikonda
 
Tuacheni upumbavu wa fikra za kishirikina na kichawi wajameni, tujitambue na tutumie maarifa, akili,uwezo ikiwezekana na nguvu tuwe matajiri kama alivyo MUNGU baba yetu.
 
Big up.
 
Na wachagga wamekua matapeli pia😂😂 akina mwacha malisa etc. Wapo. Mchagga na kanisa tena? Me mwenyewe napanga kufungua. Hawa ni waganga wa kienyeji waliochangamka
Ni wapenda janja janja sana, na ni wapenda shortcuts na ni risk takers wa kutumia akili mingi.
 

Kama huna ushahidi, huna haki ya kuongea ??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…