Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Leo Pombe katuma message kubwa kwa mababa. Thubutuni na mtaona kama watoto wenu watabaki kuwa mawaziri; wabunge; makatibu wakuu!

Message sent and delivered kwa WAZEE!

Lawama zote kwa John
Kwa hiyo DC Moshi mjini Kipi Warioba ajiandae kwa sababu mzee wake naye anatajwa kwenye hujuma dhidi ya Magufuli?
 
Uhuru wa maoni huu.
 
Sio kwamba kwenye system ya ulinz hayazungumzwi yanatetwa tena sana bro unahakil sana kwa hapa bongo hakuna Wa kumchafua mwinyi.......
 
Duh! Jamii Forums ni hatari.
 
Makamba was a well-written-off Page on the wall. Alipewa uwaziri kwa mbinde, wazee walipanga foleni,kama shukurani kwa kazi yake nzuri 2015 from Masaki TC. Then, it was just a matter of time tu, ili AFURUSHWE. Nakumbuka hadithi yake na FILIKUNJOMBE na Uwaziri mkuu, what happened?
 

Hussein Mwinyi tunamwangalia kuwa ni Mbara %. wazanzibari wanataka mtu wao wa znz. huyu hussein Mwinyiu hajawahi kukaa znz tokea kuzaliwa kwake. Hakujui znz. wenywe ndani ya CCM hawamtaki. Susi ACT wazalendo tunamkraibishi aje ashindane na mtu wetu na tutamshinda mapema labda CCM watumie ZEC, POLISI, TISS na majambazi wengine wa kuiba kura.
 
Like za kutosha kiona mbali
 
Hicho chama ni zaidi ya shetani mnyonya damu
 
Hii Tanzania ya serikali ya awamu ya 5 ukienda sehemu ambayo hakuna network ukija kurudi online unaweza kukuta baraza lote la mawaziri limebadilishwa ama hata jina la Tanzania limebadilishwa ukakuta inaitwa Chato aisee.

Lawama zote kwa John

Umenivunja mbavu Zote.
Wewe kiboko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…