utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
UNA AKILI SANA BWANA MDOGO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar vipi?hawana haki ya kuwa rais wa jamhuri?Usimsahau Hussein MwinyiHabari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Hakuna kishindikanacho, omba uhai.Siku bashite akiwa raisi ndio nitaamin kweli watanzania ni mazezeta,
Tisha-ble!Kuhusu ya NSSF tuyaweke kando maana kuna kumbukumbu aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya TAKUKURU wakati huo Sophia Simba mbele ya mabosi wake ndani ya mkutano wa chama chake alitamka wazi ",CCM hakuna msafi" hakuna aliyeinua shingo ndani ya mkutano ule si Mkapa wala JK!
So kama hakuna msafi ukiona ndani ya CCM mnunuzi wa kivuko kibovu ananyamaziwa na mdokozi wa NSSF anaandamwa ujue huyo hahitajiki kwenye circle ya wezi wenzie.
Huyu ni rais Zanzibar 2020Zanzibar vipi?hawana haki ya kuwa rais wa jamhuri?Usimsahau Hussein Mwinyi
KivipiUNA AKILI SANA BWANA MDOGO
Tehe tehe!Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Rais mremboooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.
Source: Naiweka siri kwa sasa.
Yaani kwamba Rais msukuma anastaafu halafu anampa msukuma mwenzie? Tena msukuma mwenzie huyo kiazi?Uongo?
Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.
Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.
Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza
Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Kwa kasi ya utendaji amekuwa tishio kwa wasaka urais 2025Seleman Jafo sio tishio la mtu yeyote
Hakuna kasi yoyote sema ile wizara inakupa network sana na ushawishi sasa kwa muktadha huo wasaka urais walio kwenye wizara dhaifu inawapa shidaKwa kasi ya utendaji amekuwa tishio kwa wasaka urais 2025
Ni kipenzi cha Magu kama ulikuwa hujuiKwa kasi ya utendaji amekuwa tishio kwa wasaka urais 2025
SiaminiNi kipenzi cha Magu kama ulikuwa hujui
Uliza vizuri watu watakwambia.Siamini
Unabii umetimia.... Wakati ni wakili mkweliAcha uongo ww
Habari hii ni majungu yaliotukuka,Fahamu Magufuli haonei mtu,na hafanyi kazi kwa majungu,angalia walichokifanya kina makamba ,hajawaonea ,kawapa walichostahili,Habari wadau.
Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.
January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.
Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.
Source: Naiweka siri kwa sasa.