Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

January anabatizwa kwa
Moto bana hawezi kuangamizwa
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Zanzibar vipi?hawana haki ya kuwa rais wa jamhuri?Usimsahau Hussein Mwinyi
 
Kuhusu ya NSSF tuyaweke kando maana kuna kumbukumbu aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya TAKUKURU wakati huo Sophia Simba mbele ya mabosi wake ndani ya mkutano wa chama chake alitamka wazi ",CCM hakuna msafi" hakuna aliyeinua shingo ndani ya mkutano ule si Mkapa wala JK!

So kama hakuna msafi ukiona ndani ya CCM mnunuzi wa kivuko kibovu ananyamaziwa na mdokozi wa NSSF anaandamwa ujue huyo hahitajiki kwenye circle ya wezi wenzie.
Tisha-ble!
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Tehe tehe!
 
Seleman Jafo sio tishio la mtu yeyote
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
 
Uongo?

Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.

Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.

Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza

Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Yaani kwamba Rais msukuma anastaafu halafu anampa msukuma mwenzie? Tena msukuma mwenzie huyo kiazi?
Au unamaanisha Rais wa Bongo movie?
 
Kwa kasi ya utendaji amekuwa tishio kwa wasaka urais 2025
Hakuna kasi yoyote sema ile wizara inakupa network sana na ushawishi sasa kwa muktadha huo wasaka urais walio kwenye wizara dhaifu inawapa shida
Lakini sidhani kama februari wamemmaliza unless ubunge ujao akatwe kitu ambacho ni kigumu atakuwa anajitokeza hadharani kwa matukio ili aendee kusikika
 
Huyu bashe nae ajiandae naona kama uteuzi wake ni wa kimtego sana mpaka sasa wala siamnini kama atadumu hapo
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingatia umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi ambaye kasi yake na mvumo wake wa utendaji unawatishia wasakatonge kuu 2025.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Habari hii ni majungu yaliotukuka,Fahamu Magufuli haonei mtu,na hafanyi kazi kwa majungu,angalia walichokifanya kina makamba ,hajawaonea ,kawapa walichostahili,
Kuhusu Jaffo ,katika vijana makini na wanaodeliver matarajio ya rais Magufuli ni pamoja na Yeye,na rais anamuamini,yeye kajitenga na makundi ya majungu,zake ni kazi tu
 
Back
Top Bottom