Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

Ndo mnachojidanganya vijiweni huko mkinywa kahawa yenu yenye buni mchanganyiko na kinyesi cha kondoo
Unawatukana hata wazee wasiyo ifahamu Jf jitahidi basi angalau kumtukana mleta mada tu
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
ndugu..... haya mambo yetu ya ndani nani kavujisha?
 
Uongo?

Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.

Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.

Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza

Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.
Vyeti anavyo?
 
Mnawanyima wananchi haki ya kuwajua vyema waliopewa dhamana ya kuwaongoza kama kila lisemwalo basi linachembe za kufisha ndoto ya mtu kuwa Rais.

Watajwa wowote hakuna mahali wamekatazwa kujibu tuhuma dhidi Yao au kuchukua hatua Stahiki ??
 
Ccm itaamka hivi punde, hata kikwete na lowasa walianza hivi hivi. Wazee wa ccm walika kikao na wakamweka kikao na kumlazimisha, hata pilikapilika za kutenganisha uongozi wa chama na uraisi ulianza.

Wazee wakamuekea ngumu kukwete na kumpa ultimatum, na kikwete akamtosa lowasa.

Mambo kama hayo yamekaribia na wazee wananongona na wakishakaa vizuri, tutaona mabadiliko.
 
Walikua vijana watatu, wawiliwameishatoswa amebaki huyu mmoja tu. Huyu mmoja ndio ameanza kutafutiwa sababu kupitia kwa lile baradhuli lisilo na elimu yoyote ila limemilikishwa gazeti kwa kazi maalumu.
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Mnafiki mkubwa, yamewashinda ya akina Mbow unakuja rukia vitu usivyo vijua.
 
Basi hata makonda hamumjui.. makonda ni mtu ambaye akipata nafasi anakuchenjia saa yoyote. Kifupi makonda hanaga rafiki wa kudumu. Yuko wapi rizwan ambaye alikuwa anabebwa juu juu na makonda? Wapi kikwete kwa makonda? Muulize nape ambaye makonda alikuwa pacha wake, ni nape ndio alikuwa akimwambia makonda apige dili akiwa dc baada ya kuona makonda mzito. Leo wako wapi.? Wapi Ruge mutahaba na makonda? Iliishiaje? Ni Reginald mengi alimwandalia makonda chakula alipooa, lakini waliwahi kutofautiana kabla ya kupatana tena.
Kwa hiyo unataka kusema anaweza Kuja kumgeuka magu??
 
Uongo?

Makonda anaandaliwa kuwa Rais hapo 2025.
Dhima kuu ni ili akayalinde Mabaya ya Mhusika.

Paskali wa jf aliweka uzi mmoja hapa kuwa rais ni Magufuli na kweli akawa Magufuli.

Siku akishusha uzi mwingine msije mkampuuza

Mimi nadhani kwa 2025 anu 2035 najua Rais wetu Ni Jokate.

Duh! Hapo mwisho umeua Mkuu [emoji134]‍♀️[emoji23]
 
Habari wadau.

Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho.

January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio hapo Mbeleni ukizingati umri wake. Nadhani mwafahamu kinachoendelea.

Unaambiwa lazima aangushwe na baada ya hapo mishale na gemu zito litahamia kwa Selemani Jafo ambaye ni waziri Tamisemi.

Source: Naiweka siri kwa sasa.
Akanushe kwenye vyombo vya habari kama kweli au uwongo. Kukopa hela za NSsf sio halafu hataki kulipa sio ustaarabu huo ni uovyo na hatutakiwi kuwa na Rais kama huyo. Ataenda kukopa china halafu atatupeleka kwenye China dept trap ili tunyanganywe Bandari yetu
 
Kuhusu ya NSSF tuyaweke kando maana kuna kumbukumbu aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya TAKUKURU wakati huo Sophia Simba mbele ya mabosi wake ndani ya mkutano wa chama chake alitamka wazi ",CCM hakuna msafi" hakuna aliyeinua shingo ndani ya mkutano ule si Mkapa wala JK!

So kama hakuna msafi ukiona ndani ya CCM mnunuzi wa kivuko kibovu ananyamaziwa na mdokozi wa NSSF anaandamwa ujue huyo hahitajiki kwenye circle ya wezi wenzie.
Hicho kivuko kingenunuliwa na mtu mwingine, muda huu angekuwa anaozea keko na kina Rugemalila!
HAKUNA MSAFI HATA MMOJA
 
Jafo ni Muislam lakini Sio Mzanzibar.

Jafo hana migogoro hata na wapinzani.

Angalau Jafo ameonyesha umahiri mkubwa pale Tamisemi.


Nasadiki unayoyasema isipokuwa nawaza, Je! Wazanzibar watabembelezwaje?

Naona mtu hatari kwenye mipango ya 2020 au 2025 ni Hussein Mwinyi.

Kwanza huwezi kumchafua, pili haonyeshi kuwa na tamaa ya madaraka,tatu hana mgogoro na wapinzani.

Ni MZANZIBARA anayekubalika kote bara na visiwani.

Jeshi linamkubali amefanya kazi na na ma CDF watatu.
Hakuna Mzanzibar atakayepewa Tena nafasi ya Urais wa Tena Tanzania bara. Wanaccm wa bara hawatampitisha hata siku moja Mzanzibar awe Rais . Hussein mwinyi aende akamrith Rais Shein mwakani 2020. Kwa staili hiyo nakuhakikishia 2005 Dr Salim Ahmed Salim angeza kuwa Rais. January anaweza kuwa na nafasi kubwa ya kushinda kuliko Hussain mwinyi
 
Hapa ndipo namkumbuka prof Lumumba anasema " Afrika, wenye akili hawana mamlaka na wenye mamlaka hawana akili".

Kama tungekuwa tunachagua rais kwa kigezo cha akili, basi Makamba alikuwa ndiyo bora zaidi miongoni mwa vijana wote waliotia nia ya kuutaka urais 2015 ndani ya ccm.

Sasa wanamuandama ili kumuondoa kwenye reli mazima.
Vipi January akitumbuliwa na ule uwaziri . Ndio atakuwa ameisha
 
Back
Top Bottom